Kwani lazima kuvaa Uniform? Vaa hivi tu inatosha
Kama mbwai mbwai bwana si hawajaleta sare wakti redio zote wanatangaza
View attachment 62811
Kwani lazima kuvaa Uniform? Vaa hivi tu inatosha
Kama mbwai mbwai bwana si hawajaleta sare wakti redio zote wanatangaza
View attachment 62811
vaa hivo sasa kwa kaya nazozifahamu uone kama hutachezea kichapo.
Shukrani kwa kunifahamisha.Bakwata=serikali ,kwa hiyo wanafanya kazi moja hasa ktk kipindi hiki ambacho waislam wanataka kususia sensa bakwata inabidi wahamasishe kuliko serikali,
Udaktari unadhalilika sana siku hizi dah......yaani huyu Dr. nae kajenga hoja hapa......!!!!!!!