Nani wa kulaumiwa kati ya wafanyabiashara na serikali?

MartinCoder

JF-Expert Member
Feb 20, 2018
700
629
Serikali ilitoa msamaha wa kodi kwa taulo za kike kwa lengo la taulo hizo kushuka bei ili wanawake wapate unafuu kwa kiasi fulani. Ila pamoja na msamaha huo wafanyabishara hawakushusha bei ya taulo hizo.

Baada ya serikali kuona hakuna manufaa yoyote kwa kile ilichokusudia, ikaamua kupendekeza kuondoa msamaha huo. Sasa hapo nani wa kulaumiwa? Serikali au wafanyabiashara?

Cc :zitto kabwe
IMG_20190616_192502.jpeg
 
Vijana mna mambo!! kwani nani kasema hawawezi kununua pedi?mbona bi mdash alikuwa ana afford tu bila kelele. Mwisho tutaweka siku ya taifa ya hedhi sasa..ukiwa kazini off duty!
 
Sijisikii furaha nikijadili faragha/hifadhi za make/ mama/dada/shangazi na hata watoto wangu....
Lakini ebu nijiulize swali jepesi kwambaaali, kwamba......
Hivi kabla hizi taulo hazijakuja, kumbe serikali ilikua haipati kodi hadi leo wadhalilishwe kwa jinsia zao eehhhhh....!!??
 
Sijisikii furaha nikijadili hifadhi za mama/dada/shangazi na hata watoto wangu....
Lakini ebu nijiukize kwambaaali, kwamba......
Hivi kabla hizi taulo hazijakuja, kumbe serikali ilikua haipati kodi hadi leo wadhalilishwe kwa jinsia zao eehhhhh....!!??
Kwan wakati wa msamaha wa kodi bei ya ped ilishuka? Nipe jibu
 
Sijisikii furaha nikijadili faragha/hifadhi za make/ mama/dada/shangazi na hata watoto wangu....
Lakini ebu nijiulize swali jepesi kwambaaali, kwamba......
Hivi kabla hizi taulo hazijakuja, kumbe serikali ilikua haipati kodi hadi leo wadhalilishwe kwa jinsia zao eehhhhh....!!??
Swali la nyongeza mkuu,kama zimekuja inamaana hazikuwepo. Je hao watu walikuwa hawaendi sayarini?
 
Kwan wakati wa msamaha wa kodi bei ya ped ilishuka? Nipe jibu
Sijawahi kuwa na mahusiano mazuri sana kwa upande wa kodi.
Lakini najaribu kujiuliza kwamba.... Kwani bila kodi ya taulo za wamama, pengine siri kali inaweza shindwa kujiendesha kwa ukata ehhh....!!??
 
Swali la nyongeza mkuu,kama zimekuja inamaana hazikuwepo. Je hao watu walikuwa hawaendi sayarini?
Kwa mara ya kwanza nasikitika sana kuona jamii/sirikali na great thinkers tunajadili kodi ilio potea kwasababu tu yamaumbile ama kuto kuchagua kuzaliwa kama ulivyo zaliwa.
Basi yawezekana hapa ikawa kwamba ukizaliwa wa hiyo jinsia, basi lazima ujiandae kulipa kodi kwasababu ya necha...teh
 
Sijawahi kuwa na mahusiano mazuri sana kwa upande wa kodi.
Lakini najaribu kujiuliza kwamba.... Kwani bila kodi ya taulo za wamama, pengine siri kali inaweza shindwa kujiendesha kwa ukata ehhh....!!??
Kwa hiyo nani wa kulaumiwa ;aliyerudisha kodi au aliyepewa msamaha akagoma kushusha bei?
 
Kwa hiyo nani wa kulaumiwa ;aliyerudisha kodi au aliyepewa msamaha akagoma kushusha bei?
Sijawahi kukubali kulazimishwa kuchagua jibu sahihi.
Nadhani wewe ndie unaepaswa kukaumiwa kwa hili... Hope umejisikia furaha sasa...teh
 
Kwa mara ya kwanza nasikitika sana kuona jamii/sirikali na great thinkers tunajadili kodi ilio potea kwasababu tu yamaumbile ama kuto kuchagua kuzaliwa kama ulivyo zaliwa.
Basi yawezekana hapa ikawa kwamba ukizaliwa wa hiyo jinsia, basi lazima ujiandae kulipa kodi kwasababu ya necha...teh
Off course!! Kuzaa tu ndiyo offer.
 
Vijana mna mambo!! kwani nani kasema hawawezi kununua pedi?mbona bi mdash alikuwa ana afford tu bila kelele. Mwisho tutaweka siku ya taifa ya hedhi sasa..ukiwa kazini off duty!
Wewe umemwangalia bi mdamshi wako je umejipa muda wakufikiria mahitaji ya hivyo vifaa kwa watoto wote wa kike walioko uku vijijini.Haya ni mambo yanayohusu jamii nzima ya leo na kesho.
 
utamu wa kipochi manyoya unalandana na uwekezaji katika sekta hiyo 1) Usafi binafsi 2) Ubora wa pedi na kyupiii 3)

alaumiwe asowaza umuhim wa kipochi manyoya
 
Tatizo ni serikali Kurupushi.

Wanakurupuka kila kitu kisiasa.

CCM na serikali yake haijawahi kuwa na nia njema kwa Taifa zima zaidi ya Mbinu za kilaghai za kupata kura.

Igopa Chama kinachoipa China Kipaombele na kupuuza urafiki wa Marekani yenye Waafrika Wengi wakiwemo watanzania kuliko Nchi nyingi za Afrika.


Kwanza kabisa serikali ilipaswa ifanye utafiti wa kutosho na wa kisayansi sio mbwemwe za wanasiasa wasaka kura. Ijue ni watu wa maeneo gani wasioweza kununua hizo taulo kutokana na umaskini wao.
Baada ya hapo ityambie ni asilimia ngapi watashindwa kuzinunua na asilimia ngapi watanunua.

Jambo la pili serikali baada ya kujua kuwa ni watu asilimia ngapi wasio na uwezo kabisa wa kununua hizo taulo basi walitakiwa wakae chini na wafanyabiashara wanaosambaza taulo hizo ili wapange bei Elekezi baada ya ama kufuta kodi yake au Punguzo la kodi.

Baada ya kupanga bei elekezi kwa kushirikiana na Wafanya biashara basi wananchi wangetangaziwa bei ya Taulo hizo ili yeyote atakayeuza kwa bei ya juu isiyoendana na msamaha wa kodi ashitakiwe na kulipa kodi yote aliyotakiwa kulilipa kabla ya msamaha.

Kwa hili lililotokea inawezekana ikawa ni mchezo wa watu wachache wenye tamaa ya kuwa mabilionea kupitia idanganyifu na kushirikiana na wafanyabiashara ambao kwa sasa wanatumika lama political millage na sehemu ya kujicjotea mapesa kwa ajili ya kujijenga kisiasa na umaarufu huku atu wakigawa mapesa tu bila kusema wanapozipata na kwa faida ya nani?
 
Tatizo ni serikali Kurupushi.

Wanakurupuka kila kitu kisiasa.

CCM na serikali yake haijawahi kuwa na nia njema kwa Taifa zima zaidi ya Mbinu za kilaghai za kupata kura.

Igopa Chama kinachoipa China Kipaombele na kupuuza urafiki wa Marekani yenye Waafrika Wengi wakiwemo watanzania kuliko Nchi nyingi za Afrika.


Kwanza kabisa serikali ilipaswa ifanye utafiti wa kutosho na wa kisayansi sio mbwemwe za wanasiasa wasaka kura. Ijue ni watu wa maeneo gani wasioweza kununua hizo taulo kutokana na umaskini wao.
Baada ya hapo ityambie ni asilimia ngapi watashindwa kuzinunua na asilimia ngapi watanunua.

Jambo la pili serikali baada ya kujua kuwa ni watu asilimia ngapi wasio na uwezo kabisa wa kununua hizo taulo basi walitakiwa wakae chini na wafanyabiashara wanaosambaza taulo hizo ili wapange bei Elekezi baada ya ama kufuta kodi yake au Punguzo la kodi.

Baada ya kupanga bei elekezi kwa kushirikiana na Wafanya biashara basi wananchi wangetangaziwa bei ya Taulo hizo ili yeyote atakayeuza kwa bei ya juu isiyoendana na msamaha wa kodi ashitakiwe na kulipa kodi yote aliyotakiwa kulilipa kabla ya msamaha.

Kwa hili lililotokea inawezekana ikawa ni mchezo wa watu wachache wenye tamaa ya kuwa mabilionea kupitia idanganyifu na kushirikiana na wafanyabiashara ambao kwa sasa wanatumika lama political millage na sehemu ya kujicjotea mapesa kwa ajili ya kujijenga kisiasa na umaarufu huku atu wakigawa mapesa tu bila kusema wanapozipata na kwa faida ya nani?
Hata mimi niliwaza hvo, wangepanga bei elekezi ili mfanyabiashara atakae kiuka watempe nae
 
Wewe umemwangalia bi mdamshi wako je umejipa muda wakufikiria mahitaji ya hivyo vifaa kwa watoto wote wa kike walioko uku vijijini.Haya ni mambo yanayohusu jamii nzima ya leo na kesho.
Nachokona ni wanasiasa kujaribu tu kutumia weakness za kijinsia hapa. Pedi ni vitu vya mpito sana,huzaliwi navyo Wala huzeeki navyo. Wanawake wana mambo mengi ya msingi zaidi ya hedhi...wapewe hayo kwanza. Elimu,afya,Uhuru wa kuamua maisha yao nk.
 
Back
Top Bottom