kimu mazengo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 927
- 733
Kwangu mm naona ni mh F. SUMAYE ,Sifa zake _sio mwoga,ana uwezo wa kumshauri mkubwa wake kama alivyofanya kwa mh mkapa,anapenda kushindana kwa hoja,hapendi watu kujaa gerezani,alipenda askari kuwa karibu na raia na kulinda mali zao,ana huruma,upendo,kushauriana maana binadamu si mkamilifu,hapendi umaskini na anatamani kila raia wa tzania kuwa tajiri ,mwisho anapenda m2 anayefuata katiba.!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app