popie
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 801
- 575
Dah nimecheka sanaJPM Simba.
Samia Suluhu Simba.
Kassim Majaliwa Simba.
Kwa kifupi, serikali ni mwanachama halali wa Simba.
Dah nimecheka sanaJPM Simba.
Samia Suluhu Simba.
Kassim Majaliwa Simba.
Kwa kifupi, serikali ni mwanachama halali wa Simba.
AiseeeSimba: Magwaya, Jesse Lingard, Zouma, Balloteli, Joel Barton, Kigwangala, Morrison
Yanga: Brother K, kindoki, Mbowe, Kibatala, Zahera, Idd Amin, Lwandamina
Nadhani kila mmoja ameandika anaowajua
Mkude YangaJonas Mkude simba, Ajib Simba
Nimekua nae huyo namjua vizuri sana na pia mnazi mkubwa wa Arsenal. Kwa Yanga anajificha tu. Ila mwanajangwani kindakindaki h
Wengi wa kusini ni Yanga.Nimekua nae huyo namjua vizuri sana na pia mnazi mkubwa wa Arsenal. Kwa Yanga anajificha tu. Ila mwanajangwani kindakindaki huyo
Kweli kabisa,kusini mwa Tanzania kuna wanachama wengi wa Yanga,sijui kwanini?Wengi wa kusini ni Yanga.
Huwa hivyo tu hata siasa kuna stronghold za vyama.Kweli kabisa,kusini mwa Tanzania kuna wanachama wengi wa Yanga,sijui kwanini?