zanzsco
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 161
- 45
Napenda kutoa hili swali kichwani mwangu mnisaidie wana JF.
Nimekuwa na marafiki wasio dumu kwa mda mrefu sasa yaani maisha yangu sina mtu ninayeweza jivunia huyu ni MY BEST FREND. NILIKUWA HURT NA RAFIKI YANGU KIPENZI( SIO MAHUSIANO) form 4 tangu hapo ckuthubutu tena kupenda marafiki.
Maisha yangu nina marafiki wale wa wakati,mahali na shughuli maalumu after that no strings attached and this has been my life since kuumizwa........ Halafu ina happen naturally sijui kwann?????????
Nisaidienii wana mmu na ma expirience yenu na marafiki hawa..........................
Inafika kipindi nikisikia mtu ana rafiki mpaka wana nunuliana nguo sare na kupanga time yao has frends nashindwa kuelewa kitu gani kinashindikana kwangu kuwa na frends like that...eg get together may be gals frends o boyz who r frends!!!!!!!!!
I always Pray to Jesus to give me A BEST FREND. And I BELIEVE ANAMWANDAA MTU KAMA HUYU.......JUST FOR ME.
Nawasilisha
Nimekuwa na marafiki wasio dumu kwa mda mrefu sasa yaani maisha yangu sina mtu ninayeweza jivunia huyu ni MY BEST FREND. NILIKUWA HURT NA RAFIKI YANGU KIPENZI( SIO MAHUSIANO) form 4 tangu hapo ckuthubutu tena kupenda marafiki.
Maisha yangu nina marafiki wale wa wakati,mahali na shughuli maalumu after that no strings attached and this has been my life since kuumizwa........ Halafu ina happen naturally sijui kwann?????????
Nisaidienii wana mmu na ma expirience yenu na marafiki hawa..........................
Inafika kipindi nikisikia mtu ana rafiki mpaka wana nunuliana nguo sare na kupanga time yao has frends nashindwa kuelewa kitu gani kinashindikana kwangu kuwa na frends like that...eg get together may be gals frends o boyz who r frends!!!!!!!!!
I always Pray to Jesus to give me A BEST FREND. And I BELIEVE ANAMWANDAA MTU KAMA HUYU.......JUST FOR ME.
Nawasilisha