Tunamwomba Dr. Slaa aje akanushe alafu akisha kanusha na sie tuna maswali yetu ya msingi ya kumuuliza, la sivyo Lowassa atabaki amechafuka na historia haitafutika kwake ..hii ngoma haiishii CDM mkuu, kwanza watwambie wao ni kanisa? wanatumia kitabu kipi kumtakasa mtu?
Dr.Slaa aliongea kwa niaba ya CDM na CDM ni taasisi ambayo imeshasema Lowasa ni Mtu safi kwa sasa.Kipindi kile alikuwa Mchafu kwa sababu alikuwa ndani ya Tope.CDM ndio wana haki ya kumsafisha Lowasa kwa sababu ndio waliomchafua.Hii ni kanuni popote Duniani.Mwiba hutokea ulipoingilia.