mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,834
- 3,530
Eti wakuu hivi mdogo wake mama mkubwa akiwa amezaa mtoto inaruhusiwa kumtembezea moto/ kumuoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
We mpe tu hiyo papuchi ila msitiane mimbaHabari za muda huu wana jamii,
Naimani mko poa kabisa.
Bila kupoteza muda naomba msaada wenu tafadhali, Ndugu wa damu ni yupi kati ya hawa wawili,
mtoto wa shangazi/baba mkubwa/mjomba, au mtoto wa mama mzazi alie zaa na baba mungine ambae si baba yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa mama yako mzazi aliyezaa na Baba yako mwingine ndio wa Kwanza kuwa ndugu yenu. Yaani ninyi ni mama mmoja except Baba tuu. Achana na mambo ya kitamaduni Ila kiuhalisia ndio huoHabari za muda huu wana jamii,
Naimani mko poa kabisa.
Bila kupoteza muda naomba msaada wenu tafadhali, Ndugu wa damu ni yupi kati ya hawa wawili,
mtoto wa shangazi/baba mkubwa/mjomba, au mtoto wa mama mzazi alie zaa na baba mungine ambae si baba yangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa mama yako mzazi aliyezaa na Baba yako mwingine ndio wa Kwanza kuwa ndugu yenu. Yaani ninyi ni mama mmoja except Baba tuu. Achana na mambo ya kitamaduni Ila kiuhalisia ndio huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante naimani hata wewe waweza kua ndugu yangu.Wamama wanabambikia wababa sana watoto, so ndugu wa mama ndio wa halisi. Upande wa Baba mnaweza kua mmebambikiana tu. By the way sio lazima awe huyo, Mbona dunia imejaa watu wengi tu, achana nae huyo
Mrembo.. nasubiri utayari wako kuyajenga maisha ya mahusiano..
Punguza wahka abuyazid.Mrembo.. nasubiri utayari wako kuyajenga maisha ya mahusiano..
Naeleza kile ambacho nina uwezo nacho... Si wajua ni vibaya kuficha jambo kama hili
VizuriNaeleza kile ambacho nina uwezo nacho... Si wajua ni vibaya kuficha jambo kama hili
au tunaongea sehemu ya wazi pasipo na usiri... Hebu toa neno kuhusu hili jambo
Hahaaa.... Umenikumbusha wimbo wa jamaa mmoja nimemsahau jina wimbo unasema siri ya niniii... Mpaka njia anajua...au tunaongea sehemu ya wazi pasipo na usiri... Hebu toa neno kuhusu hili jambo
Hewaa sasa toa neno lako katika jambo hili... Maana hauhitaji iwe siriHahaaa.... Umenikumbusha wimbo wa jamaa mmoja nimemsahau jina wimbo unasema siri ya niniii... Mpaka njia anajua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Abu_yazid usiniangushe mzee fanya kweli mwezi wa futari umekaribiaMrembo.. nasubiri utayari wako kuyajenga maisha ya mahusiano..
Sikuangushi ndugu yangu... Sema mrembo huyu anakawiza sana kikao na jambo linaeleweka kabisaAbu_yazid usiniangushe mzee fanya kweli mwezi wa futari umekaribia
.
Mrembo... Neno lako tafadhali...Hahaaa.... Umenikumbusha wimbo wa jamaa mmoja nimemsahau jina wimbo unasema siri ya niniii... Mpaka njia anajua...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana stress na hao ndugu zake wa damu naona wanamchanganya kichwaSikuangushi ndugu yangu... Sema mrembo huyu anakawiza sana kikao na jambo linaeleweka kabisa
Ana stress na hao ndugu zake wa damu naona wanamchanganya kichwa
.
Aisee.. itanilazimu nifanye kila liwezekanalo, aingie kwenye himaya nimtoe stressAna stress na hao ndugu zake wa damu naona wanamchanganya kichwa
.