luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,021
- 21,263
H
Hakuna tofauti na kuchepuka
Hakuna tofauti na kuchepuka
Naona unazidi kumpalia ujiko tu mwanamme kitombitombi hahahaaaaaaa.Mwanaume kuwa malaya ni heshima na fahari kwa jamii inayomzunguka, ila mwanamke kuwa malaya ni aibu na fedheha kwa jamii inayomzunguka!
Kitamathari Mwanaume ni kama FUNGUO wakati mwanamke ni kama KUFULI..... Sasa FUNGUO yenye uwezo wa kufungua kufuli nyingi inaitwa kwa heshima kabisa kwamba ni MASTER KEY Na inatunzwa vizuri ilhali KUFULI linalofunguliwa na kila funguo Hakuna mtu anayetamani kulitumia.
Ndio urudi na alama kabisa kuwa umeliwa?Wote wana makosa. Mnamlaumu mke lakini Mume anajua kabisa kuwa nyege zake ndo zimesababisha yote hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona ni sawa kutiwa na kuachiwa alama ya kuwa umezini?H
Hakuna tofauti na kuchepuka
Sijatetea uchepukaji wa mwanamke. Kuchepuka ni dhambi haijalishi ni mwanaume au mwanamke.Ndio urudi na alama kabisa kuwa umeliwa?
Dah!!
Nyie wanawake mnajuana wenyewe.
Ukiona mwanamke anachepuka kulipiza kisasi hana akili kabisa ni wa kumuacha.
Mangapi atalipiza??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanaohitaji huduma na wamekosa wa kuwahudumia ni wengi.Sijatetea uchepukaji wa mwanamke. Kuchepuka ni dhambi haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
Mnavyotetea kuchepuka kwa mwanaume mnashangaza sana. Hakuna sehemu imehalalishwa. Hata kwa waislamu hairuhusiwi labda uhalalishe kwa kuoa!
.
.
Hamjui ni jinsi gani wanawake wanaadhirika kwa uchepukaji wenu, tena mnafanya bila adabu na bila kificho unadhani ni wanawake wangapi wanaweza kuvumilia? Anaweza asilipize kwa kuchepuka lakini kitu unachojenga moyoni mwake ni hatari sana. Nyie ndio mnasababisha migogoro kwenye ndoa halafu mnakuja hapa kulalamika. Ndoa haiwezi jengwa na mwanamke peke yake hata siku moja.
Ndio maana zinavunjika hlf mnamlaumu mwanamke. Hamuoni aibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaaaaa!! Mzee Suleiman hajasingiziwa kweli?Heaven Sent na espy ndo wataalamu wa hizi kesi
Huyo tena!! Role modelHaahaaaaa!! Mzee Suleiman hajasingiziwa kweli?
Haahaaaaa!! Mzee Suleiman hajasingiziwa kweli?
Huyo hawahusu sana maana sio kwa msimamo ule wakati wao msimamo zero.Role model wa watu, sijui hawamsomagi Ayubu
Alafu si unajua sisi wanawake ni wengi kuliko wao hivyo walipewa ruhusa ya kuchepuka.Huyo tena!! Role model
Nahisi wanoanaga tu mistari ya SuleimanHuyo hawahusu sana maana sio kwa msimamo ule wakati wao msimamo zero.
Na Daudi.Nahisi wanoanaga tu mistari ya Suleiman