Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Kamati ya bunge imeamuru NSSF iifahamishe TRA kampuni ya Yono Mart usimamishe mpango wa kuuza nyumba za mradi wake wa Dege Eco Village baada ya mkandarasi wa mradi huo wa ujenzi Mutluhan kutoka nchini Uturuki kudaiwa deni la kodi la bilioni 45.
Hivi inaingia akilini kuuza mradi wa NSSF ulioitia hasara ya bilioni 270 kwa shirika hilo kwa kufidia deni la mkandarasi la bilioni 45.
TRA na Yono Mart pia walishindwa kuuza nyumba za Lugumi baada kuonekana kampuni ya Lugumi inadaiwa bilioni 13 na lakini wanataka kuuza nyumba kwa bei ambayo sio kwa thamani halisi ya nyumba hizo. Serikali itupie macho hii kampuni ya Yono Mart ambayo itailetea hasara kubwa wenye mali (wadaiwa) na TRA katika harakati zake za kupenda kupiga mali mnada kwa haraka kwa maslahi ya kampuni hiyo.
Hivi inaingia akilini kuuza mradi wa NSSF ulioitia hasara ya bilioni 270 kwa shirika hilo kwa kufidia deni la mkandarasi la bilioni 45.
TRA na Yono Mart pia walishindwa kuuza nyumba za Lugumi baada kuonekana kampuni ya Lugumi inadaiwa bilioni 13 na lakini wanataka kuuza nyumba kwa bei ambayo sio kwa thamani halisi ya nyumba hizo. Serikali itupie macho hii kampuni ya Yono Mart ambayo itailetea hasara kubwa wenye mali (wadaiwa) na TRA katika harakati zake za kupenda kupiga mali mnada kwa haraka kwa maslahi ya kampuni hiyo.