Nani mwingine akimuona Polepole anamuona Nyerere?

Kaka yupo vizuri lkn ushiriki wake kwenye biqshara wa ununuzi wa wabunge na kuharibu chaguzi kunamuondolea alama zote nzuri. Jamaa waliharibu sana
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Sio nyerere ni mbegu ya Nyerere, maana yeye kama punje ya mahindi iliyomaliza muda wake na kudondoka imeota na kuzaa punje nyingine nyingi , kama huyo , magufuli n.k
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
mimi huwa najisikia kichefuchefu.
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Polepole huyu huyu aliyevuna mabilioni kwenye ile project haramu ya kununua wapinzani uchwara au mwingine? Kuwa na heshima na Mwalimu Nyerere, usirudie tena kumlinganisha na vitu vya kipumbavu.
 
Ina maana Nyerere angekuwepo angeingilia kazi ya CAG kulinganisha mahesabu ya trilioni 1.5? au hata kujivunia matumizi ya VIIEITE kwa vigogo wa chama twawala.......tuombe radhi wadanganyika tafadhali.
 

Hakika kila nikimtazama kijana huyu Comrade Polepole nauona uongozi wa aina ya Nyerere.

Nchi inatakiwa iilinde hii hazina huyu ni Nyerere aliyezaliwa upya.

Kiboko ya mabeberu na mabwanyenye. Wametumwa kina le mutuz na steve nyerere kumchafua wameishia kuonekana vituko, chuma kinaendelea kutema cheche.

One yes tutakupa hii nchi utufikishe nchi ya ahadi tulipokuwa tunapelekwa na shujaa wa Africa.
Mhu! Labda ambao hawajawahi kumwona live na kwa karibu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom