ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Nasubiri kuona kiongozi wetu mkuu kuiga mfano halisi wa demokrasia sahihi na hakika kutoka kwa kiongozi wa jumuiya ya madola.
Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.
Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.
Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.
Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.
Nawasilisha.
Yaaani ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na nusu tumeshuhudia kwa macho yetu wenyewe kabisa mawaziri wakuu wawili tena wa dola kubwa sana duniani wakijiuzulu kutokana tu na vionho,i wenzao kusema tu hawana imani nao.
Nafikiria apa mfano ndo ingekuwa ni katika moja wapo ya nchi za kiafrika je jambo kama hili lingewezekena? si kwamba tushuhudia umwagaji mkubwa sana wa damu yaani raia wasio na hatia kuuwawa na makundi mawili ambayo ndo yangekuwa yana hasimiana.
Natamani sana kiongozi wetu mkuu wa dola kama na yeye anagalau ata kwa unafiki kidogo tu angeiga ama kufata nyayo za baba wa jumuiya ya madola ingekuwa poa sana.
Angalau kwa kutoa basi nafasi na fursa sawa kwa wanasiasa wote wanaofanya siasa tanzania, uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari.
Kiukweli leo ndo nimeamini wenzetu wamefika katika stage ya juu sana hasa kwenye suala la ustaarabu yaani wako very civilized wazungu wamestaarabika mno.
Nawasilisha.