Mwenye jukumu la Kudhibiti ubora wa mitihani ni mamlaka inayosimamia Elimu katika ngazi hiyo.
Mock ni Jaribio la kuwapima Uekewa, watahiniwa kabla ya mtihani wa Taifa.
Mtihani wa Mock huakisi mtihani wa Taifa, katika muundo na maudhui.
Linganisha mtihani huo na Muundo wa Mtihani wa Taifa wa Darasa hilo kisha uzishauri mamlaka husika kupitia kwa mkuu wako wa shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.