mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 887
- 705
Sipati jibu sahihi juu ya nani mwenye hati miliki ya Taifa la Tanzania
Nani mwenye uchungu wa dhati juu ya mabaya,udhalimu utendwao juu ya Tanzania?
Nani mwenye haki ya kupigania haki za wananchi wa Tanzania?
Nani mwenye nguvu,Mamlaka na uweza wa kuipeleka Tanzania apendako?
Nani mwenye kutuchagulia viongozi sahihi na wasio sahihi hapa Tanzania...Je,Ni vyama?Wenyeviti wa Vyama?Rais wa JMT? Wafadhili?Vyombo vya habari?NGO's?CBO's
Kweli Demokrasia ya vyama vingi kupitia chaguzi ndio chanzo cha msingi kupata viongozi?
Nani mwenye uchungu wa dhati juu ya mabaya,udhalimu utendwao juu ya Tanzania?
Nani mwenye haki ya kupigania haki za wananchi wa Tanzania?
Nani mwenye nguvu,Mamlaka na uweza wa kuipeleka Tanzania apendako?
Nani mwenye kutuchagulia viongozi sahihi na wasio sahihi hapa Tanzania...Je,Ni vyama?Wenyeviti wa Vyama?Rais wa JMT? Wafadhili?Vyombo vya habari?NGO's?CBO's
Kweli Demokrasia ya vyama vingi kupitia chaguzi ndio chanzo cha msingi kupata viongozi?