baba mmoja alikuwa amekaa na familia yake akamwambia mtoto wake mdogo we muoga sana kwa nini unaogopa kulala peke yako chumbani mtoto akajibu nahisi hii tabia nimerithi kwako kwa sababu mama akisafirigi wewe pia unaogopaga kulala peke yako unamchukuaga dada(housegirl)na kulala naye