Texas Tom.
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 510
- 273
#‎NaniMtaniJembe‬
Matokeo mpaka kufikia leo saa 6 mchana ni:
Yanga SC TZS 93,562,500
Simba SC TZS 6,437,500
Bado siku 4 kufikia tamati ya shindano ya hili ambapo Disemba 21 mshindi atakabidhiwa kitita cha pesa alizoshinda.
Tuendelee kupiga kura kwa wingi ili mnyama atoke kapa siku ya mwisho.
Yanga "Daima Mbele Nyuma Mwiko"
Matokeo mpaka kufikia leo saa 6 mchana ni:
Yanga SC TZS 93,562,500
Simba SC TZS 6,437,500
Bado siku 4 kufikia tamati ya shindano ya hili ambapo Disemba 21 mshindi atakabidhiwa kitita cha pesa alizoshinda.
Tuendelee kupiga kura kwa wingi ili mnyama atoke kapa siku ya mwisho.
Yanga "Daima Mbele Nyuma Mwiko"