Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau mimi sina Uelewa mpana wa Masuala ya Katiba ya nchi, nimeamu nililete Kwenu Suala hili ili nijifunze juu ya usimamizi
wa katiba ya nchi.
Swali langu ni:
Je, ni nani mwenye mamlaka kisheria ya kuisimamia katiba ya nchi ili kuhakikisha haivunjwi na kuchezewa? na iwapo itachezewa atachukua hatua gani?
wa katiba ya nchi.
Swali langu ni:
Je, ni nani mwenye mamlaka kisheria ya kuisimamia katiba ya nchi ili kuhakikisha haivunjwi na kuchezewa? na iwapo itachezewa atachukua hatua gani?