Nani msemaji wa elimu aliyebaki Bungeni? Naona walimu wa private wananyanyaswa sana

Kuna shule flani kule arusha inanyanyasa sana walimu na hakuna wa kuwasemea. Waajiri wanatumia kukosekana kwa ajiri kunyanyasa walimu.

Hiyo shule ukiajiriwa tu unanyanganywa simu huruhusiwi kutumia kabisa, huruhusiwi kuingia na kitabu darasani, walimu wanavaa uniform kama wanafunzi, wanakula chakula cha ajabu yaani uji wa wanafunzi, walimu wanafanywa mazezeta kabisa.

Mmiliki wa hiyo shule ni mbunge lakini ananyanyasa sana wafanyakazi.

Vipindi vinaanzia saa kumi na moja alfajiri mpaka saaa mbili usiku mshara laki mbili.

Jamani waziri husika tembelea private schools jionee manyanyaso kwa walimu analau jaribu kuwatetea.

Shule inaitwa Nyahili memorial school iko arusha.
Si ungemtaja huyo mbunge Humu . Sasa unaficha Ficha nini

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Kuna shule flani kule arusha inanyanyasa sana walimu na hakuna wa kuwasemea. Waajiri wanatumia kukosekana kwa ajiri kunyanyasa walimu.

Hiyo shule ukiajiriwa tu unanyanganywa simu huruhusiwi kutumia kabisa, huruhusiwi kuingia na kitabu darasani, walimu wanavaa uniform kama wanafunzi, wanakula chakula cha ajabu yaani uji wa wanafunzi, walimu wanafanywa mazezeta kabisa.

Mmiliki wa hiyo shule ni mbunge lakini ananyanyasa sana wafanyakazi.

Vipindi vinaanzia saa kumi na moja alfajiri mpaka saaa mbili usiku mshara laki mbili.

Jamani waziri husika tembelea private schools jionee manyanyaso kwa walimu analau jaribu kuwatetea.

Shule inaitwa Nyahili memorial school iko arusha.
Kwahiyo wanafunzi ndiyo wanatakiwa kula chakula cha ajabu?
 
siku watanzania mtakapoacha kuwa wanyonge na kujisimamia kutetea haki zenu basi hapo ndio mtakuwa mmejiokoa..
 
Kuna shule flani kule arusha inanyanyasa sana walimu na hakuna wa kuwasemea. Waajiri wanatumia kukosekana kwa ajiri kunyanyasa walimu.

Hiyo shule ukiajiriwa tu unanyanganywa simu huruhusiwi kutumia kabisa, huruhusiwi kuingia na kitabu darasani, walimu wanavaa uniform kama wanafunzi, wanakula chakula cha ajabu yaani uji wa wanafunzi, walimu wanafanywa mazezeta kabisa.

Mmiliki wa hiyo shule ni mbunge lakini ananyanyasa sana wafanyakazi.

Vipindi vinaanzia saa kumi na moja alfajiri mpaka saaa mbili usiku mshara laki mbili.

Jamani waziri husika tembelea private schools jionee manyanyaso kwa walimu analau jaribu kuwatetea.

Shule inaitwa Nyahili memorial school iko arusha.
dogo komaa hata na iko kilaki 2, graduates wamejaa huku mtaani mpaka sio vizuri
Manyanyaso kawaida, lasivyo kajiajiri
 
Mshahara ni mapatano baina ya mwajiri na mwajiriwa, kama mlipatana mlipane laki mbili, hapo hakuna cha kulaumu...
Huu ni mtazamo finyu, usiojali maslahi ya wengine na maslahi mapana ya Taifa. Makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa yapo lakini hayapaswi kuwa yenye ukandamizaji na ndio maana baada baadhi ya nchi zina sheria zinazoongoza viwango vya mishahara kwa kila kazi. Ukiruhusu waajiri wapange mishahara kwa sababu wanaohitaji ajira wapo wengi, ipo siku wote watakubaliana walipe elfu hamsini kwa mwezi. Je walimu wote waache kufanya kazi wakafanye mambo mengine? Wadogo zetu na watoto zetu atawafundisha nani?

Na kama watumishi wote wa umma wakiamua kuacha hizo kazi zao kwa sababu ya maslahi madogo, ukandamizaji kazini, na sheria kandamizi kisha wakaamua kuwa wakulima ama wajasiriamali, majukumu yao atayatimiza nani? Au unaona wanachokifanya hakina msingi?

Watu wanapolalamikia unyanyasaji kazini kimbilio lisiwe kuwaambia waache kazi bali kutafuta suluhu kwa kuweka sheria bora zinazolinda maslahi na haki zao. Kutokuwepo kwenye hizo kazi haimaanishi kuwa hufaidiki nazo.
 
Mshahara ni mapatano baina ya mwajiri na mwajiriwa, kama mlipatana mlipane laki mbili, hapo hakuna cha kulaumu.

Kuhusu kuvalishwa uniform kwa walimu nako sioni tatizo, ni sehemu ya taratibu za shule husika, huwezi kumpangia mmiliki wa shule na hakuna tatizo lolote ikiwa lengo ni unadhifu wa walimu. Ni mambo ya nidhamu tu. Askari polisi, mgambo, jeshi na magereza wanavaa uniform na huoni wakilalamika popote.

Ushauri wangu kwa wahusika ni kujitafakari kama wana sababu ya kuendelea kufanya kazi katika taasisi ambazo wanaona zinawapunja. Dawa ni kuacha kazi na kwenda kufanya mambo mengine. Walimu msiendelee kuwa wajinga na wanyonge, hakuna mtu wa kuja kuwasaidia au kuwaonea huruma, pambaneni na hali zenu.
Hujiewi na hujui kazi ya wizara ya elimu. Nenda kenya private ni kama serikali kuna kima cha chini na cha juu cha mshahara kilichopangwa na serikali na lazima mwajiri ufate la siyo unakuwa liquidated.

Haki zote za mfanyakazi ni lazima siyo ombi na anaweza kukupeleka mahakamani na huna gats za kumfukuza. Nenda kenya ujionee acha mawazo mgando ya kidictator.
 
Wanaopaswa kuwatetea ndio wamiliki wa shule. Hata Ndalichako mwenyewe walimcharukia kama mbogo alipotaka kuzuia wanafunzi kusoma mwaka mzima bila ya likizo.
Kukosekana kwa taasisi imara kumepelekea vigogo na waliofungamana na CCM kuamua watakavyo.
 
Kuna shule flani kule Arusha inanyanyasa sana walimu na hakuna wa kuwasemea. Waajiri wanatumia kukosekana kwa ajili kunyanyasa walimu.

Hiyo shule ukiajiriwa tu unanyanganywa simu huruhusiwi kutumia kabisa, huruhusiwi kuingia na kitabu darasani, walimu wanavaa uniform kama wanafunzi, wanakula chakula cha ajabu; yaani uji wa wanafunzi, walimu wanafanywa mazezeta kabisa.

Mmiliki wa hiyo shule ni Mbunge lakini ananyanyasa sana wafanyakazi.

Vipindi vinaanzia saa kumi na moja alfajiri mpaka saaa mbili usiku mshara laki mbili.

Jamani waziri husika tembelea private schools jionee manyanyaso kwa walimu analau jaribu kuwatetea.

Shule inaitwa Nyahili Memorial School iko Arusha.

Umetaja shule na mahali ilipo, na kusema ni ya mbunge, mbona huyo mbunge hujamtaja? Arusha ni kubwa, sema ni Arusha wilaya gani, na jina la huyo mbunge mmiliki ili tumuanike, na kuhamasisha wazazi wasipeleke wanafunzi kwenye hizo shule za madhalimu.
 
Umetaja shule na mahali ilipo, na kusema ni ya mbunge, mbona huyo mbunge hujamtaja? Arusha ni kubwa, sema ni Arusha wilaya gani, na jina la huyo mbunge mmiliki ili tumuanike, na kuhamasisha wazazi wasipeleke wanafunzi kwenye hizo shule za madhalimu.
Alichukua nafasi ya esta matiko.
 
Hao watakuwa hawajaajiriwa,wanafanya kiti kinaitwa"Tempo"....ilikuaga 80 elfu. Kama ni laki 2 basi imepanda sana.
Hakuna mwalimu mwenye akili timamu ana diploma au degree yake akapokee laki 2 mshahara. Hao wanajitolea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka usiwe mbishi, pita pita mashulen huko kaangalie, hali n mbaya sana, wala usibishe, jamaa anachosema ni kweli kabisa, na hao walimu sio wa tempo km unavyohisi, ni professional kabisa Mkuu na waajiriwa.
 
Back
Top Bottom