Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Nakumbuka tuhuma mbalimbali ambazo zimekuwa zikitolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo kuhusu kutaka kuhujumiwa ama na Chama tawala au Serikali, matamko yake yamekuwa yakitolewa na katibu mkuu wa CDM, Wilbroad Slaa au Mwenyekiti wao Freeman Mbowe na wakati mwingine John Mnyika.
Lakini hili la kwamba, kuna njama za kuingilia simu zao kwa kutumia mtambo wa waliosema kuwa umenunuliwa na mtoto wa kigogo serikalini limetolewa na mshauri wa chama katika masuala ya kiintelijensia, MABERE, NYAUCHO MARANDO.
Ninavyofahamu mimi, tuhuma zote hizo ni za kiintelijensia. Iweje kila tuhuma itolewe na mtu mwingine badala ya mshauri wa kiitelinsia? Kitugani kimejificha hapa? Je haiwezekani kabisa kila mmoja wa viongozi kuonekana wataalamu wa kupika habari za uongo na kupewa nafasi yakufanya hivyo pindi wanapoona maji yamewafika shingoni?
Marebe Marando ni mtu ambaye kwa muda mrefu sana amekuwa kimyan na kwa taarifa zilizopo ni kuwa alikuwa nje ya nchi kuhudhuria mafunzo zaidi ya kiusalama. Hivi haiwezekani kabisa kwamba yeye ndiye aliyetumwa na chama chake kwenda kuuleta mtambo huo ili kuingilia simu za watu wengine na kuonekana kuwa zimetoka kwao?
Lakini hili la kwamba, kuna njama za kuingilia simu zao kwa kutumia mtambo wa waliosema kuwa umenunuliwa na mtoto wa kigogo serikalini limetolewa na mshauri wa chama katika masuala ya kiintelijensia, MABERE, NYAUCHO MARANDO.
Ninavyofahamu mimi, tuhuma zote hizo ni za kiintelijensia. Iweje kila tuhuma itolewe na mtu mwingine badala ya mshauri wa kiitelinsia? Kitugani kimejificha hapa? Je haiwezekani kabisa kila mmoja wa viongozi kuonekana wataalamu wa kupika habari za uongo na kupewa nafasi yakufanya hivyo pindi wanapoona maji yamewafika shingoni?
Marebe Marando ni mtu ambaye kwa muda mrefu sana amekuwa kimyan na kwa taarifa zilizopo ni kuwa alikuwa nje ya nchi kuhudhuria mafunzo zaidi ya kiusalama. Hivi haiwezekani kabisa kwamba yeye ndiye aliyetumwa na chama chake kwenda kuuleta mtambo huo ili kuingilia simu za watu wengine na kuonekana kuwa zimetoka kwao?