Nani mpumbavu

D Metakelfin

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
3,160
3,259
84ca9f1fb1667241df5644bb0537a872.jpg

nani mjinga hapo
 
Mjinga ni namba 1 wenzake wote wana misumeno yeye hana anachofanya lakini kujiondoa hapo kwenye tatizo hawezi.
 
Mpumbavu ni 3.

Namba 1 na 4 ni wanaume. Ngoja watoswe tu.

Kwa nini namba 3 anataka kumtosa demu namba 2. Upumbavu tu.
japo ni wanasiasa tuiongezee nyama kijamii: namba 3 msumeno haujazama (anakata kigeresha tu) 2&4 si wa mchezo mchezo. funzo: 3 anataka kizembe ili 1+4 wadondoke/wapishe msongamano ili yeye (3) abaki na 2 salama
 
Huyo namba nne ndiye ccm au kwa jina lao la kisasa ndiye bashite team.
 
Back
Top Bottom