Wadau wa JF,
Napenda kufahamu ni nani anamiliki Maduka makubwa ya Mariedo hapa Mjini.Kuna mtu ameniambia ni Edward Amri,nikamwambia hapana mbona huyu ni Pastor na ana kanisa lake na huwa anhubiri praise power neno la mungu. mwenye kujua ukweli anisaidie
Napenda kufahamu ni nani anamiliki Maduka makubwa ya Mariedo hapa Mjini.Kuna mtu ameniambia ni Edward Amri,nikamwambia hapana mbona huyu ni Pastor na ana kanisa lake na huwa anhubiri praise power neno la mungu. mwenye kujua ukweli anisaidie