choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,553
Wadau,
Ni kitu ambacho najiuliza siku nyingi ila nakosa jibu. So leo nikaona si mbaya kubadilishana fikra na ndugu zangu.
Kuna hii kampuni ya YONO ambayo kwa sasa ndio imeaminiwa na serikali ya awamu ya tano kiasi kwamba kazi nyingi za madai ya kodi na mambo mengine yanayofanana na hayo wanapewa hawa jamaa kufuatilia.
Kwa siku za karibuni naona wamekua mastar wa mbele sana, mfano tumewaona wakifungia ofisi za Manji kwa kudaiwa kodi.
Wamefanya yao pale Bluepeal, jana tumeshuhudia wakiwa wanauza nyumba za Lugumi na hali kadhalika nimepata kuona taarifa yao kwamba wanataka kupiga mnada yale magorofa ya Kigamboni Dege.
So shauku yangu ni kutaka kujua ni mtanzania gani ambaye amebarikiwa kipindi kama hiki ana-flourish kilaini hivi?
Najua hakuna kinachoshindikana JF majibu nitayapata inshaallah.
Ni kitu ambacho najiuliza siku nyingi ila nakosa jibu. So leo nikaona si mbaya kubadilishana fikra na ndugu zangu.
Kuna hii kampuni ya YONO ambayo kwa sasa ndio imeaminiwa na serikali ya awamu ya tano kiasi kwamba kazi nyingi za madai ya kodi na mambo mengine yanayofanana na hayo wanapewa hawa jamaa kufuatilia.
Kwa siku za karibuni naona wamekua mastar wa mbele sana, mfano tumewaona wakifungia ofisi za Manji kwa kudaiwa kodi.
Wamefanya yao pale Bluepeal, jana tumeshuhudia wakiwa wanauza nyumba za Lugumi na hali kadhalika nimepata kuona taarifa yao kwamba wanataka kupiga mnada yale magorofa ya Kigamboni Dege.
So shauku yangu ni kutaka kujua ni mtanzania gani ambaye amebarikiwa kipindi kama hiki ana-flourish kilaini hivi?
Najua hakuna kinachoshindikana JF majibu nitayapata inshaallah.