Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Kwakuwa NN katwambia chochote atakachoongea Kibs ni uongo, na Kibs kasema alichoongea NN ni ukweli, basi hapo alichoongea Kibs ni uongo. Hivyo muongo hapo ni NN
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
NN anatwambia chochote atakachoongea Kibs ni uongo(yaani hakuna ukweli atakachoongea Kibs) sasa Kibs anasema(uongo) Alichoongea NN ni kweli, yaani anatudanganya kwamba alichoongea NN ni kweli wakati si kweli.(huo ndio uongo wake Kibs. nafikiri nimeeleweka.
Sasa ushamjua muongo ni Kibs.
Kwa hivyo wote NN na Kibs ni waongo (hawajesema ukweli)!
sasa unabisha nini? uongo?
Hakuna mkweli kati yako = wote waongo
basi tuseme wote wamedanganya.
tupe namna ulivyopata hiyo logichebu tutengenezee logic eqution yake basi, maana wengine tumeota kutu
tupe namna ulivyopata hiyo logic
hebu tutengenezee logic eqution yake basi, maana wengine tumeota kutu
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Soma maongezi haya....
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni uongo.
Kibs: Alichoongea NN ni kweli.
Kati ya NN na Kibs, nani mwongo na nani mkweli?
Hebu tuya "interchange" (sijui kiswahili chake) haya maneno mawili ukweli na uongo ili tuone tunawezaje kuelewa tofauti.
NN: Chochote atakachoongea Kibs ni ukweli.
Kibs: Alichoongea NN ni uongo.
Kati ya NN na Kibs, nani mkweli na nani muongo?