Nani mkweli kuhusu mapato ya nchi, Mh Zitto Kabwe au TRA?

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Mh Zito alisema mapato ya Serikali yameshuka mpaka bilioni 600 kwa mwezi na TRA wametoa takwimu za miezi mitatu kuwa wamekusanya trillion 3.67 ambayo kwa wastani kila mwezi ni trillion 1.22

Sasa nani mkweli kati ya Mh Zito na TRA?
 
Hata wewe jiongeze, hebu angalia hali ya uchumi inavyokwenda, then usihanisha na alichosema Zito mana chanzo chake Zito ni Tume ya Taifa ya Takwimu(NBS), pia pima na taarifa ya TRA nadhan utapata jibu. NBS wao utoa takwmu muhmu za ktaifa katka nyanja zote
 
Tatizo ZITTO nae huwa si mkweli wakati mwingne......
Rejea jinsi alivyotuiaminisha WATANZANIA juu ya VOCHA za simu juu ya kukatwa VAT as well as ISSUE ya road license ilivyoamishiwa kwenye mafuta....
Tulimezeshwa matango kweli na hawa wanasiasa wa UPINZANI....
 
Mh Zito alisema mapato ya Serikali yameshuka mpaka bilioni 600 kwa mwezi na TRA wametoa takwimu za miezi mitatu kuwa wamekusanya trillion 3.67 ambayo kwa wastani kila mwezi ni trillion 1.22

Sasa nani mkweli kati ya Mh Zito na TRA?
mkweli in zito TRA wamepika takwimu ndo maana wamekosea tarehe na jumla ya mapato.

taarifa ilitoka Tarehe 10/9/2017 kabla mapato ya september hayajakamilika
 
TRA is the reliable source forget about Zitto he was tried to tease them to release a quarterly report.

Kisheria wanapaswa kuwa reliable source, ila baada ya awamu hii kuingia wao wanaelekezwa jinsi ya kutoa data na mkulu. Mwanzo walikuwa wakitoa kila mwezi kwa sababu walikuwa wanatafuta sifa. Sasa kibai kimegeuka wanajifanya wanatoa quartely, napo bado wanajichanganya. Ukitaka kujua wanapika data angalia walichoongea juzi jamaa wa takwimu kisha oanisha na TRA. Nyie subirini sehemu mnahubiria watu wenye uelewa mdogo msubiri kupigiwa makofi.
 
Back
Top Bottom