Daaaa, umeupotosha umma ndugu... President ni top every whereInategemea na mkoa uliopo
Mfano waliopo Dar Makonda ni kijana mdogo sana kulilo Rais.
Hivo Rais ndo mkubwa, uko mkoa gani!!?
Mi nikajua nani mkubwa ki umriDaaaa, umeupotosha umma ndugu... President ni top every where
nlikuwa cjakusoma mkuu am sorry sanaMi nikajua nani mkubwa ki umri
Nahitaji kumaliza ubishi mtaani,maana watu hawajui uongozi
Sawa wakuu kwa hiyo rais ni mkubwa popote pale ndani ya nchi yake