Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi undermine power of intelligence service. Hili ni jeshi la watu wenye akili na waliobobea ktk ku silence pasipo kuonekana ktk mazingira ya kawaida. Ingekuwa jeshi lina nguvu kuliko hawa jamaa basi ni dhahiri shahiri ingekuwa rahisi kupinduwa nchi ila hawa jamaa wana network ndani ya jeshi kwa kazi moja tu kulinda usalama wa Nchi. Jeshi halina intelligence walio nayo Tiss. Na ndio maana hata jeshi wana depend on taarifa ya Tiss. Why ? Mifumo yakiusalama kwa Tiss ni mipana sana nayenye nguvu hawana majeshi kama ya jeshi letu ila wao wanasilaha hatari sana sana ambazo vault yake wanaijuwa wao. Usalama wa Taifa ukiwa weak nirahisi kuangusha nchi ila ukiwa imara sio rahisi kuangusha nchi. Ndio maana unaambiwa Mkurugenzi Nzena alikuwa moja ya makachero alizuwia mapinduzi ktk taifa hili wakati wa Nyerere na kama utakumbuka Hayati Kombe ndie mkuu wa idara ya usalama wa Taifa alie fanya maboresho mengi ikiwepo na kupenyeza Tiss Jwtz.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
Hao aliowapenyeza kombe wengi ndio wanastaff miaka hii mitatu mbele mpaka minne.hakuna wengine Tena, nyerere ndio aliasisi utaratibu huo na Hakuna alieuenzi katika awamu zilizofuataHuwezi undermine power of intelligence service. Hili ni jeshi la watu wenye akili na waliobobea ktk ku silence pasipo kuonekana ktk mazingira ya kawaida. Ingekuwa jeshi lina nguvu kuliko hawa jamaa basi ni dhahiri shahiri ingekuwa rahisi kupinduwa nchi ila hawa jamaa wana network ndani ya jeshi kwa kazi moja tu kulinda usalama wa Nchi. Jeshi halina intelligence walio nayo Tiss. Na ndio maana hata jeshi wana depend on taarifa ya Tiss. Why ? Mifumo yakiusalama kwa Tiss ni mipana sana nayenye nguvu hawana majeshi kama ya jeshi letu ila wao wanasilaha hatari sana sana ambazo vault yake wanaijuwa wao. Usalama wa Taifa ukiwa weak nirahisi kuangusha nchi ila ukiwa imara sio rahisi kuangusha nchi. Ndio maana unaambiwa Mkurugenzi Nzena alikuwa moja ya makachero alizuwia mapinduzi ktk taifa hili wakati wa Nyerere na kama utakumbuka Hayati Kombe ndie mkuu wa idara ya usalama wa Taifa alie fanya maboresho mengi ikiwepo na kupenyeza Tiss Jwtz.
Huijui tiss wewe,( Jeshini kwenyewe kuna watu wa tiss, tiss ni serikali ndani ya serikali.
The one who control infomation controls everything. )
Ulichoandika hapo ndio UONGO..
Inatakiwa ujue TISS ni nini na JWTZ ni nini.
Jeshi lina intelijensia yake yenyewe haiingiliwi.
Unavyosema Serikali ndani ya serikali unaijua SERIKALI? mihimili yake unaijua? Usirahisishe vitu vikawa vyepesi
Jeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
Umri au majukumu...?
Na wakishareport nani anayeshughulikia nao?Kabla halijaamua hao wafanya maamuzi wanakuwa tayari riported na usalama.
Information is everything you need to make perfect strikes, tiss wanazo Taarifa mpaka za jeshi
Msuyu atamuwezea mabeyo?Enzi za utoto ilikua utata kama huu unamalizwa kwa wahusika kupanda ulingoni kuzichapa na mshindi ndiye mkubwa.
jeshi mzee lina watu wengi mno na wanaheshimianaKabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila Mahali
We ni chengaMkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo
Watu bado wana undermine power ya Idara yetu hii wanasahau ni kazi ya Idara kuhakikisha Mkuu wa majeshi (CDF) ana remain loyal kwa Amiri jeshi mkuuHuwezi undermine power of intelligence service. Hili ni jeshi la watu wenye akili na waliobobea ktk ku silence pasipo kuonekana ktk mazingira ya kawaida. Ingekuwa jeshi lina nguvu kuliko hawa jamaa basi ni dhahiri shahiri ingekuwa rahisi kupinduwa nchi ila hawa jamaa wana network ndani ya jeshi kwa kazi moja tu kulinda usalama wa Nchi. Jeshi halina intelligence walio nayo Tiss. Na ndio maana hata jeshi wana depend on taarifa ya Tiss. Why ? Mifumo yakiusalama kwa Tiss ni mipana sana nayenye nguvu hawana majeshi kama ya jeshi letu ila wao wanasilaha hatari sana sana ambazo vault yake wanaijuwa wao. Usalama wa Taifa ukiwa weak nirahisi kuangusha nchi ila ukiwa imara sio rahisi kuangusha nchi. Ndio maana unaambiwa Mkurugenzi Nzena alikuwa moja ya makachero alizuwia mapinduzi ktk taifa hili wakati wa Nyerere na kama utakumbuka Hayati Kombe ndie mkuu wa idara ya usalama wa Taifa alie fanya maboresho mengi ikiwepo na kupenyeza Tiss Jwtz.
Ni kama warokole kujifanya wa kristo kuliko wa Romansawa ila huwez fananisha army na idara ya ujasusi ndani ya nchi yyte ile...jeshi is everything jeshi ndio baba wa taasisi zote na vyombo vyte vya ulinzi, jeshi ndio ngome ya taifa lolote lile...
Usalama hawana kelele hata jeshi ukiona limepindua nchi ujue mchoro mzima katoa usalamaAliyeongea kwenye msiba wa Magufuli kwa niaba yao ndio mkubwa wao, over. Au jiulize, wapi umesikia Idara ya Usalam imepinduq nchi?
Daaa wee jamaa mbona umeandika kama unajua wakati unaonyesha haya mambo hujui kabisaMkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo
Bongo hakuna army kuna militarydaaah hii kali Yani mkuu wa TISS anacontrol hadi jeshi hahaha.....acha ujinga idara ya usalama ni chombo kidgo Sana kwa jeshi(army) ndani ya nchi yyte ile
OMINOPIENT PARADOXY.Intelligence ya jeshi Ni ya humo humo jeshini, TISS inaweza kujua taarifa mpaka za hiyo intelligence ya jeshi lakini Intelligence ya Jeshi haiwezi kujua ya TISS, kwa kuhitimisha, TISS wapo mpaka jeshini na wanafanya kazi za jeshi, lakini TISS hakuna wanajeshi wanaoifanyia intelligence. Vinginevyo mnaongopeana.
MWALIMU MKUU NA MWALIMU WA NIDHAMU NANI MKUBWA KWA MWENZAKE...Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua