Huo tu ni mgawanyo wa kazi ila ukijibu swali la mtoa maada kwamba who is the champ! Kiuhalisia hakuna Kama jeshi Yani hata Kama TISS kazi wanaweza mpeleleza CDF au hata waziri mkuu hata raisi mwenyew hio ni majukum yao kisheria...ila mwisho wa siku jeshi kimsingi ndio kada ya mwisho au kubwa kiulinzi na usalama kwene nchi yoyote ile.. jeshi linadhaman kubwa kuliko TISS...ndo maan ikitokea state of emergency jeshi ndo Lina shika nchi,jeshi ndo lenye uwezo wakufanya mapinduzi na TISS wala taasisi yyte isiwe na cha kufanyaHapa mtabishana mpaka kesho, ni lazima ujue kazi za hizo taasisi mbili yaani jeshi na idara ya usalama wa taifa. Kazi za jeshi zinajulikana na wengi, za usalama je? Ukisoma sheria iliyounda idara ya usalama wa taifa, Tanzania intelligence &, security services act ya 1996 section ya 1 mpaka ya 5 inaeleza majukumu ya idara. Na moja ni kutafuta, kuchambua na kutunza taarifa zote muhimu popote zilipo.
Hii ina maana kwamba TISS wanafuta information popote, iwe ni bungeni, kijiweni jeshini nk. Kazi hii inaweza kua kupitia 'deep cover' au 'undercover informers' kwahyo usishangae kuona wamepenyeza watu jeshini au sehem yoyote ile. Kwa sura ya nje ni kweli CDF ni mkubwa sana kuliko viongozi wengine wa ulinzi na usalama, hata kiprotocal pia. Ila ukiingia kiundani kdg utakuta hata uteuzi wa CDF ni baada ya file lake kupita Tiss na wao kutoa mapendekezo msidhani jeshi halina control, kuna watu wanaliangalia kwa karibu mno ili kulinda usalama wa nchi.
Tiss wanadominate kwenye kila kitu, iwe uchumi, siasa, utawala nk. Wao wanatakiwa kutambua na kuzuia athari yoyote inayoweza kuikuta nchi. Tiss wakifeli hapo na taifa linakua dhaifu.
Ukweli ni kwamba ile taasisi ni 'dubwana' kubwa sana lililojificha chini ya neno 'taasisi' lakini kazi zake zipo hata kwenye vijiwe vya bodaboda au kanisani. Wakati wa kumuapisha Diwani Athumani, kama DGIS mpya, hayati Magufuli aliongea statement tata kwa CDF kua ''kuna watu pale jeshini anawaona wadogo kicheo ila wanaweza kumzidi kimadaraka", na akamaliza kwa kusema "that's how government work"
Hebu waulize hao usalama mafunzo yao wanayapataga wapi kwanza maana kuna vitu vinafurahisha kweli... hao usalama kwa silaha zipi? kwa jeshi gani? Wengine wameingia tu kwa style zetu zile
Kakojoe ulale mzee!TISS wanashindwa kumshughulikia/washughulikia watakaopanga mapinduzi ndani ya JWTZ ?
OOOOOH Aisee! TISS ndio utawala wenyewe hao JWTZ ni washika mitutu
Kuna TISS ndani ya JWTZ, inakuja taarifa kuwa wanajeshi fulani na fulani wanatarajia kufanya mapinduzi kitaundwa kikosi cha TISS na mapandikizi ya TISS huko JWTZ draft linapanguliwa
Tupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshi
Uturuki kuna wanajeshi zaidi ya 10,000 walikamatwa na wengi maelfu wako jera kwa kushiriki jaribio la mapinduzi lililofeli mwaka 2016. Idara ya usalama ilizuiaTupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshi
Umeelezea vizuri sana.kwa Elimu inatoshaHapa mtabishana mpaka kesho, ni lazima ujue kazi za hizo taasisi mbili yaani jeshi na idara ya usalama wa taifa. Kazi za jeshi zinajulikana na wengi, za usalama je? Ukisoma sheria iliyounda idara ya usalama wa taifa, Tanzania intelligence &, security services act ya 1996 section ya 1 mpaka ya 5 inaeleza majukumu ya idara. Na moja ni kutafuta, kuchambua na kutunza taarifa zote muhimu popote zilipo.
Hii ina maana kwamba TISS wanafuta information popote, iwe ni bungeni, kijiweni jeshini nk. Kazi hii inaweza kua kupitia 'deep cover' au 'undercover informers' kwahyo usishangae kuona wamepenyeza watu jeshini au sehem yoyote ile. Kwa sura ya nje ni kweli CDF ni mkubwa sana kuliko viongozi wengine wa ulinzi na usalama, hata kiprotocal pia. Ila ukiingia kiundani kdg utakuta hata uteuzi wa CDF ni baada ya file lake kupita Tiss na wao kutoa mapendekezo msidhani jeshi halina control, kuna watu wanaliangalia kwa karibu mno ili kulinda usalama wa nchi.
Tiss wanadominate kwenye kila kitu, iwe uchumi, siasa, utawala nk. Wao wanatakiwa kutambua na kuzuia athari yoyote inayoweza kuikuta nchi. Tiss wakifeli hapo na taifa linakua dhaifu.
Ukweli ni kwamba ile taasisi ni 'dubwana' kubwa sana lililojificha chini ya neno 'taasisi' lakini kazi zake zipo hata kwenye vijiwe vya bodaboda au kanisani. Wakati wa kumuapisha Diwani Athumani, kama DGIS mpya, hayati Magufuli aliongea statement tata kwa CDF kua ''kuna watu pale jeshini anawaona wadogo kicheo ila wanaweza kumzidi kimadaraka", na akamaliza kwa kusema "that's how government work"
BurundiTupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshi
Tanzania enzi ya nyerereTupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshi
Cdf ni kila kitu..DGiS ndio maana Rais ana uwezo wa kumtumbua hata police rais anatengua uteuzi bila shidaYou can't compare cdf na mkurugenzi Tiss, Cdf ni level zingine,thus why sometimes anaweza kuchukua nchi ikawa chini ya jeshi,Kama kunatokea mkanganyiko wa taasisi ya urais.Cdf ki protocol anateuliwa na rais na ana salute kwa rais,lakini kiuhalisia he is more superior than prsdnt,he can command anything to soldiers and be done onspot.japo ni swari za kipuuzi ngoja tu tukusaidie.
Kakojoe ulale mzee!
Tupe mfano wa nchi moja ambayo ma generali wa majeshi walipanga mapinduz na kuamrisha vijana afu idara za usalama zikafanikisha kufanya hivo....hahah stop that nonsense, TISS wanauwezo wakumshambulia Nani kwa silaha kutoka wapi na wapo wangapi huko jeshini? Nchi yyte ile jeshi ndio msingi wa ulinzi na ndio final say hamna idara inaeweza kupambana na jeshi
Nyuzi kama hizi huwa sitii neno, maana sidhani kama kuna haja ya kulinganisha Semitrailer na double cabin
Khaaa... mkuu
Yes.. wapo ndani ya jeshi lakini hii reasoning yako kiboko. Unapaswa ujue tuu jeshi ni kubwa zaidi. Na mpango wa mapinduzi unaanzaje kwa hao wajeshi wa chini.. huo unakua ni mpango wa wakubwa.
Maafisa 15 akiwepo Nani mkuu wa majeshi(CDF) na mnadhimu wa jeshi..leta mfano ambao mkuu wa jeshi alijarbu au alitoa amri na haikutekelezwa sio maafisa ambao hawakupata uungwaji mkono wa kiongozi mkuu wa jeshiUnafahamu chochote kuhusu mapinduzi yaliyojaribiwa mwaka 1982 ? Sasa kama haujui lile jaribio walihusika zaidi ya maafisa 15 wa JWTZ
Nenda library ukajifunze waliishia wapi
Nimecheka sana kiongoziJf utani umezidi ndo tumefikia hii kweli?
Yani hawa hawa wanaovaa earphone kama ma dj ndo mnawafananisha na comando?
Maafisa 15 akiwepo Nani mkuu wa majeshi(CDF) na mnadhimu wa jeshi..leta mfano ambao mkuu wa jeshi alijarbu au alitoa amri na haikutekelezwa sio maafisa ambao hawakupata uungwaji mkono wa kiongozi mkuu wa jeshi