Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
Sijui kama mnajua kua jeshi lina intelligence yake,maana mostly mnaongelea habari za kijiweni than reality.Kabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila Mahali
Mkuu wa Majeshi is very powerful asee