Nani Mkali wa Voice Over?

Hao uliowataja woote wana ukongwe wao katika tasnia, kiboko kuna dogo mmoja ni mtangazi wa choice fm huwa anakuja pale clouds kufanya powerbreakfast on saturday huyu kijana anaitwa Mussa Memba, clouds wenyewe wanaelewa shughuli yake kwanza ana sauti nzuri ya kitangazaji. Sema bado wanamtafuta undani kuna yale matangazo yenye maelezo marefu ndo anapiga kwa mfano tangazo la chuo cha Datastar training college na shule ya Green acres na haya matangazo wa maombi ya vyuo....mtegee sikio huyu bwana
 
Hao uliowataja woote wana ukongwe wao katika tasnia, kiboko kuna dogo mmoja ni mtangazi wa choice fm huwa anakuja pale clouds kufanya powerbreakfast on saturday huyu kijana anaitwa Mussa Memba, clouds wenyewe wanaelewa shughuli yake kwanza ana sauti nzuri ya kitangazaji. Sema bado wanamtafuta undani kuna yale matangazo yenye maelezo marefu ndo anapiga kwa mfano tangazo la chuo cha Datastar training college na shule ya Green acres na haya matangazo wa maombi ya vyuo....mtegee sikio huyu bwana
Oooh nampata vyedi Uyo Mussa Member pia wa humu JF naskia.
 
Niongeze tu 90's..
1.Taji Liundi (Matangazo ya Plan International,Sabuni ya Kodray)
2.Mike Mhagama (Mtangazo ya mwaka mzima ya Bia ya Kibo Gold)
3.Othman Njaidi
4.Makanga Lugoe (ML Chris)
 
Niongeze tu 90's..
1.Taji Liundi (Matangazo ya Plan International,Sabuni ya Kodray)
2.Mike Mhagama (Mtangazo ya mwaka mzima ya Bia ya Kibo Gold)
3.Othman Njaidi
4.Makanga Lugoe (ML Chris)
Makanga Lugoe noma kweli washikaji zangu.
 
Hao uliowataja woote wana ukongwe wao katika tasnia, kiboko kuna dogo mmoja ni mtangazi wa choice fm huwa anakuja pale clouds kufanya powerbreakfast on saturday huyu kijana anaitwa Mussa Memba, clouds wenyewe wanaelewa shughuli yake kwanza ana sauti nzuri ya kitangazaji. Sema bado wanamtafuta undani kuna yale matangazo yenye maelezo marefu ndo anapiga kwa mfano tangazo la chuo cha Datastar training college na shule ya Green acres na haya matangazo wa maombi ya vyuo....mtegee sikio huyu bwana
unachosema kina ukweli, ila kwa pale wakali wa Classified ads, ni Mwihava, na Jacqueline kombe,
 
Niongeze tu 90's..
1.Taji Liundi (Matangazo ya Plan International,Sabuni ya Kodray)
2.Mike Mhagama (Mtangazo ya mwaka mzima ya Bia ya Kibo Gold)
3.Othman Njaidi
4.Makanga Lugoe (ML Chris)

huyo namba4, naskia ni tishio sana kwenye hizi mambo
 
Kuanzia Makampuni mbalimbali ya Simu yale yaliyoanza Kuingia nchini na ya Bidhaa nyinginezo nyingi tokea miaka ya mwishoni mwa 1999 hadi kuelekea mwaka 2009 hapo.
sawa sawa, wengine tulikokuwa tunaishi redio zilikuwa chache na redio iliyokuwa inashika ni RTD Dar es salaam tu
 
1:ML Chriss
2:Emphraim Kibonde.
3:Antonio Nugaz
4:Gadner
5:Mussa Hussein,Askofu Tza pia ana sauti iko yente sana pamoja na Mtozi mwanagenzi'Mwihava'kwa matangazo yaliyotulia..John Jackson'Msanuaji'pia..
Japo upande wa Jingles,Sweepers,Signtunes,Interprograms,Drops,Bambers,Teezers,ML Chriss hana mpinzani"88.1 Clouds FM Arusha","Xtra Xtra Laaargee","Inalipa kusikiliza Powerbreakfast","Bado tunaendelea kuzimomotoa ngoma kali20","Tunakufungulia dunia kuwa unachotaka","Mbili Tano tano",,huyu ML Chriss sijui ni Patrick?ni nouma sana Pale Mawingu.
ML Chriss ni shida
 
kwenye Media Industry kuna vitu vingi vyakufanya, si lazima uwe mtangazaji, mhariri, mzalisha vipindi au vinginevyo, kuna kitu kinaitwa Voice over, uingizaji wa sauti kwenye matangazo hasa ya redio au TV,

Kwa sasa nchini kwetu hii kitu imekuwa kubwa sana na kuna watu wengi wanapiga pesa kwa hii kitu, pia kuna redio zimeajiri watu kwa kazi hizi tu, kufanya Drop, jingle, immaging etc,

mtaji wa hii kitu ni Sauti tu na usomaji mzuri wa script mbwe mbwe zingine zinafanywa na producers,

kila mtu ana aina ya matangazo anayofanya, sasa kwa sasa TZ nani ni mkali..?

mfano wa watu hao ni kama,
-Antonio Nugaz
-Reuben Ndege (ncha kali)
-Raymond Mshana
-Ezden Jumanne
-Hyper man HK
-Gardner G Habash
-Sandu G (Kidbwoy)
-Philip Mwihava
-Ephraim Kibonde r i p

wengine huwa siwafahamu kwa majina, kuna yule bwana sauti yake huwa ipi TV1, mtu mbaya sana yule


CONCLUSION: Kwa jinsi uzi ulivoenda na comment za wadau ML CHRISS anaibuka kuwa ndio mkali wa Tasnia hiyo
 
kivipi tena. michepuko inakaaje hapo
Hilo ni Tangazo liliandaliwaga na Wizara ya Afya alilipiga Kibonde kuhusu Kubaki njia kuu na kuepuka michepuko ili kupunguza maambukizi ya UKIMWI"Baki njia kuu Michepuko sio dili Epuka UKIMWI"...Dr.Kibs may his Soul Rest In Peace Role Model.
 
Back
Top Bottom