Nani Mkali wa Voice Over?

Immaging ni kitu gani chief? Naomba kueleweshwa kidogo.

Radio imaging is the general term for the composite effect of multiple and varied on-air sound effects that identify, brand and market a particular radio station. These sound effects include: voiceover, music beds, sweepers, intros, promos, liners, stingers, bumpers, shotguns, and jingles.
 
kwenye Media Industry kuna vitu vingi vyakufanya, si lazima uwe mtangazaji, mhariri, mzalisha vipindi au vinginevyo, kuna kitu kinaitwa Voice over, uingizaji wa sauti kwenye matangazo hasa ya redio au TV,

Kwa sasa nchini kwetu hii kitu imekuwa kubwa sana na kuna watu wengi wanapiga pesa kwa hii kitu, pia kuna redio zimeajiri watu kwa kazi hizi tu, kufanya Drop, jingle, immaging etc,

mtaji wa hii kitu ni Sauti tu na usomaji mzuri wa script mbwe mbwe zingine zinafanywa na producers,

kila mtu ana aina ya matangazo anayofanya, sasa kwa sasa TZ nani ni mkali..?

mfano wa watu hao ni kama,
-Antonio Nugaz
-Reuben Ndege (ncha kali)
-Raymond Mshana
-Ezden Jumanne
-Hyper man HK
-Gardner G Habash
-Sandu G (Kidbwoy)
-Philip Mwihava
-Ephraim Kibonde r i p

wengine huwa siwafahamu kwa majina, kuna yule bwana sauti yake huwa ipi TV1, mtu mbaya sana yule

Yawezekana ukawa umekuwa / umebalehe hivi Karibuni tu kwani mpaka hivi sasa bado hata hawa Watajwa wako hapa hawajafikia 25% ya Mafundi haswa wa Voice Over Tanzania kama Manguli hawa Wawili nakutajia hapa chini...

1. Terence Mwakalukwa
2. Chris Makanga

Uliowataja hapa sikatai kwamba ni Wazuri ila Kiuweledi hao Wanajitahidi tu ila bado hawajafikia uwezo mkubwa walionao / waliokuwa nao Watu Wawili tu niliokutajia hapo.

Kila la kheri.
 
Yawezekana ukawa umekuwa / umebalehe hivi Karibuni tu kwani mpaka hivi sasa bado hata hawa Watajwa wako hapa hawajafikia 25% ya Mafundi haswa wa Voice Over Tanzania kama Manguli hawa Wawili nakutajia hapa chini...

1. Terence Mwakalukwa
2. Chris Makanga

Uliowataja hapa sikatai kwamba ni Wazuri ila Kiuweledi hao Wanajitahidi tu ila bado hawajafikia uwezo mkubwa walionao / waliokuwa nao Watu Wawili tu niliokutajia hapo.

Kila la kheri.

Unaweza ukatutajia kazi za hawa wawili uliowataja..?
1. Terence Mwakalukwa
2. Chris Makanga
 
Immaging ni kitu gani chief? Naomba kueleweshwa kidogo.
Ni kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kazi
 
Ni kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kazi
Alafu kuna mtangazaji mmoja alikuwa anaitwa roi mbarick maganga ile Sauti haijawahi tokea vocal nzito Kama golf la chizi afu imetulia alikuwa pale RFA
 
Alafu kuna mtangazaji mmoja alikuwa anaitwa roi mbarick maganga ile Sauti haijawahi tokea vocal nzito Kama golf la chizi afu imetulia alikuwa pale RFA
roy mlaliki maganga alikuwa TBC after RFA, Kwa sasa kajiajili
 
Dozen na mchomvu walikuwa wako vzr ila nashangaa now days hawafanyi,Kenedy anajitahid ila saut yake siyo rafiki kabisa.
 
Ni kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kazi

Yule mnyama ni ML Chris, jamaa anajua sana. One of the best Presenters wanaojua kutema yai katika nchi hii.
 
Back
Top Bottom