Immaging ni kitu gani chief? Naomba kueleweshwa kidogo.
thread closed.......Jamaa wa TV1 kawafunika wote hao "...haapa TiiiV 1 pekee" the guy ana vocal la Voice Over hao wote hamna kitu.
kwenye Media Industry kuna vitu vingi vyakufanya, si lazima uwe mtangazaji, mhariri, mzalisha vipindi au vinginevyo, kuna kitu kinaitwa Voice over, uingizaji wa sauti kwenye matangazo hasa ya redio au TV,
Kwa sasa nchini kwetu hii kitu imekuwa kubwa sana na kuna watu wengi wanapiga pesa kwa hii kitu, pia kuna redio zimeajiri watu kwa kazi hizi tu, kufanya Drop, jingle, immaging etc,
mtaji wa hii kitu ni Sauti tu na usomaji mzuri wa script mbwe mbwe zingine zinafanywa na producers,
kila mtu ana aina ya matangazo anayofanya, sasa kwa sasa TZ nani ni mkali..?
mfano wa watu hao ni kama,
-Antonio Nugaz
-Reuben Ndege (ncha kali)
-Raymond Mshana
-Ezden Jumanne
-Hyper man HK
-Gardner G Habash
-Sandu G (Kidbwoy)
-Philip Mwihava
-Ephraim Kibonde r i p
wengine huwa siwafahamu kwa majina, kuna yule bwana sauti yake huwa ipi TV1, mtu mbaya sana yule
Yawezekana ukawa umekuwa / umebalehe hivi Karibuni tu kwani mpaka hivi sasa bado hata hawa Watajwa wako hapa hawajafikia 25% ya Mafundi haswa wa Voice Over Tanzania kama Manguli hawa Wawili nakutajia hapa chini...
1. Terence Mwakalukwa
2. Chris Makanga
Uliowataja hapa sikatai kwamba ni Wazuri ila Kiuweledi hao Wanajitahidi tu ila bado hawajafikia uwezo mkubwa walionao / waliokuwa nao Watu Wawili tu niliokutajia hapo.
Kila la kheri.
Ni kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kaziImmaging ni kitu gani chief? Naomba kueleweshwa kidogo.
Alafu kuna mtangazaji mmoja alikuwa anaitwa roi mbarick maganga ile Sauti haijawahi tokea vocal nzito Kama golf la chizi afu imetulia alikuwa pale RFANi kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kazi
Unaweza ukatutajia kazi za hawa wawili uliowataja..?
1. Terence Mwakalukwa
2. Chris Makanga
yule jamaa ni kisanga, ana jina flani gumu sana, matangazo yake mengi ni clasic sana
Alafu kuna mtangazaji mmoja alikuwa anaitwa roi mbarick maganga ile Sauti haijawahi tokea vocal nzito Kama goli la chizi afu imetulia alikuwa pale RFA
Ni kitu kinachofanya mtu ukifungua tu redio ujue kuwa hii ni station fulani..mfano ni jingle za kutaja frequency za mikoa.jingle za kila top of the hour na za kutambulisha kipindi kinapoanza na jingle za segment za vipindi..mfano Cloud's fm kuna Jamaa anasauti nzito iliyo clear ndo anayefanya hiyo kazi
Kajiajiri kwenye career yake ya utangazaji ile ile au....issue nyingne....roy mlaliki maganga alikuwa TBC after RFA, Kwa sasa kajiajili
Yule jamaa hatari..hivi anaitwa Nani?Jamaa wa TV1 kawafunika wote hao "...haapa TiiiV 1 pekee" the guy ana vocal la Voice Over hao wote hamna kitu.