Hata mimi huwa nashangaa sana kwa nini jamaa jina lake sio kubwa huku bongo. Ila ukipita kwenye mabaa nyimbo zake zinapigwa sana mfano Vita imana na 100 kilos na watu huzipenda sana ila hawajui kaimba nani.Mimi nakubaliana na wewe
Najiulizaga Sana mbona hapa tz huyu mwamba hawampagi shavu kuja kutoa Rhumba znazokonga kumtima!!?
Inaonekana unazijulia sana jinsi hizi kitu zinavyotakiwa kutendewa haki katika usikilizaji wake. Pembeni uwe na kakinywaji kako taratibu hapo lazima stress zote ziondoke kichwaniHapo mkuu uwe na woofer sea piano au home theater system sauti ya chini!!
Kwenye suala la Rhumba, sijaona kwa Sasa mkali ZAIDI ya Ferre!
Wakuu, natumai hamjambo!
Kati ya wasanii tajwa hapo juu, nani unamkubali kwenye upande wa Rhumba??
Wewe umefuata nini kwenye majukwaa ya starehe kama kweli uko na masuala serious tu?wa afrika tunashida sana
Hayamambo yaliyomfanya chegwavala kufeli kuwakpmboa wakongo ,MTU mzima kama wewe unajua wazi kwamba taifa linahudhunika kuhusu MBOWE kubuniwa mashitaka harafu
Harafu unakuja na maswala ya starehe hapa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa Fally Ipupa sio mkali sana kwenye Rumba ni mzuri wa Sebene na Afro Pop [siku hizi].Ferre Gola mkali wa Rhumba,Fally anachanganya sana.
Baba lao Koffi kwakweli yule ni kumuacha tu huwezi kufananisha na hawa new generation.
Kuna Heritier Watanabe dogo anajua sana aisee.
Hao wote wanafunzi wa Koffi.
Jamaa ana album toka miaka ya70- 80 huko ,siku hizi anakumbushia tu kisasa zaidi
Yaani koffi ni mwalimu wa Werrason? Mwalimu wa Ferre? Kwa Fally nakubaliana na wewe.Koffi ni mwalimu wa hao wote uliowataja hapo,
Kwangu mimi koffi ndiye mwanamuziki wa Gen ya 4 ya congo ambaye ni mkali kwenye Rumba na sebene.Mkuu, nyimbo za Rhumba za Fere gora unazifatilia Lkn??
Koffi namwona Ni mkali wa Ndombolo!
Mpiana ana suati nzuri sana ya asili (kuliko hata koffi mwenye sauti zake nne, ila ni artificial). Tatizo la Mpiana hatoi kazi ndio maana ni ngumu kumuweka kwenye ligi.JB Mpiana case closed
Ferre anafanya traditional rhumba, ambayo imepoteza umaarufu afrika. Mimi ndiye Fav rhumba artist wa sasa. Sikiliza Ekoti ya Nzube. Bonge ya rumba.Hata mimi huwa nashangaa sana kwa nini jamaa jina lake sio kubwa huku bongo. Ila ukipita kwenye mabaa nyimbo zake zinapigwa sana mfano Vita imana na 100 kilos na watu huzipenda sana ila hawajui kaimba nani.
Ferre na Fally washakaa sana tu Quartie Latin.Ni kweli kabisa Fally Ipupa sio mkali sana kwenye Rumba ni mzuri wa Sebene na Afro Pop [siku hizi].
Sijakuelewa hapo, nani ni mwanafunzi wa koffi?