mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,096
Mzk unaathiriwa na mambo mengi sn, soko, Production, na time. Mf. Mzk ss una pesa, so uwezekano wa mwanamzk kufanya audio au video ya kiwango cha juu ni mkubwa hata km hakuna chamaana anachokiimba.
Haya ni wanamzk wangapi ss hv Wanatengenezewa mzk na Pfunk au Master Jay? Hadhira iliyopo sasa hawawez sikiliza fleva za miaka ile af ukashindanisha na ya sasa kinakua kittuko
Haya ni wanamzk wangapi ss hv Wanatengenezewa mzk na Pfunk au Master Jay? Hadhira iliyopo sasa hawawez sikiliza fleva za miaka ile af ukashindanisha na ya sasa kinakua kittuko
Unaweza kuwa sahihi....
Kama prof J anaimba na bado anaendelea kuimba kwanini tusimlinganishe na Roma?
Au hata kama haimbi kwasasa lakini wameishi kwenye mziki wote wakiwa kwenye mziki kwa miaka 4 au zaidi.
Ilimradi genre ziwe zinafanana..... kwanini nasema hivi kuna watu walifanya mziki mkubwa 70s wa genre fulani na hadi leo unaishi hakuna wa genre hiyo aliyeweza kuvunja record na ukiskia tracks ni sawa zimetoka jana.