Nani mkali kati ya Rayvanny na Harmonize?

Ahaaaa haaa hapo tunatafuta ukali wa kimila au kipaji? Kwenye masuala ya kukogeshwa madawa, na masuala ya kimila..hana mpinzani dhahiri, Konde-boy kashinda. Ila kama ni kipaji, vocal, stage Vany.



Everyday is Saturday.............:cool:
 
Umeelewa swali kweli...?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote wameajiriwa,the boss(aliyejiajiri) ni huyu mwana pekee.
dddd.jpeg


dodge
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom