Nani mkali kati ya Joh Makini na Fid Q?

Fid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora

Fid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora
Video sio tija kama maneno sio na style haviko ki hip hop halisi inabidi uje kunakuimba na kuchana katika hip hop yaani fid anachana hatari ila joh anaimba kunasiku nilikisia wanamzungumzia chemical na rose ree kuwa nani ni mkali ukweli ni kwamba chemical ni moto mwingine
 
Video sio tija kama maneno sio na style haviko ki hip hop halisi inabidi uje kunakuimba na kuchana katika hip hop yaani fid anachana hatari ila joh anaimba kunasiku nilikisia wanamzungumzia chemical na rose ree kuwa nani ni mkali ukweli ni kwamba chemical ni moto mwingine
Kuna Rap na Rap singer.

Eminem ni rap singer,meanwhile Twister ni raper.

So kuimba na kurap hakukuondoi kwenye ubora. Otherwise tukubali kua Did Q na Joe Makini hawafanani,style, Hivyo haifai kuwalinganisha

Kuhusu Huyo Rozaree nimewahi kumsikia ila Chemical simfahamu. Hivyo siwezi kuwazungumzia
 
Kuna Rap na Rap singer.

Eminem ni rap singer,meanwhile Twister ni raper.

So kuimba na kurap hakukuondoi kwenye ubora. Otherwise tukubali kua haaafanani, Hivyo haifai kuwalinganisha

Kuhusu Huyo Rozaree nimewahi kumsikia ila Chemical simfahamu. Hivyo siwezi kuwazungumzia
Mtafute na chemical ile uwe sure
 
Kuna Rap na Rap singer.

Eminem ni rap singer,meanwhile Twister ni raper.

So kuimba na kurap hakukuondoi kwenye ubora. Otherwise tukubali kua Did Q na Joe Makini hawafanani,style, Hivyo haifai kuwalinganisha

Kuhusu Huyo Rozaree nimewahi kumsikia ila Chemical simfahamu. Hivyo siwezi kuwazungumzia
toa ushuzi wako hapa..rap singer ndiyo nini!?..mnaleta uchoko kwenye muziki wetu,mkitaka kuimba nendeni kwa Bella mkakate viuno..
 
Haya mambo yalishindwa kumaliza utata kati ya HOV na Nas.

Rapper mkali katika nini?
Ukali wao unatakiwa ushindanishwe vipi? Kwa kura?

Mafanikio? Lyrics?

Kura zikapigwa Nas akashinda bado watu wakasema ni the so called " weaker anaposhindanishwa na mkali mashabiki wanamwonea huruma weaker".

Haya mambo magumu..ni kutoa matokeo kiushabiki tu.
Hapo umeongea nn sasa?? Si bora ukafumbata midomo yako usikilize wakubwa wanaongea nini
 
Back
Top Bottom