elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 612
- 596
Fid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora
Video sio tija kama maneno sio na style haviko ki hip hop halisi inabidi uje kunakuimba na kuchana katika hip hop yaani fid anachana hatari ila joh anaimba kunasiku nilikisia wanamzungumzia chemical na rose ree kuwa nani ni mkali ukweli ni kwamba chemical ni moto mwingineFid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora