Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

3llyEmma

JF-Expert Member
Oct 23, 2017
6,172
6,882
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
 
...Kwenu wadau wa Soka


Haruna Niyonzima na Clatous Chama..
Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.
Mkuu Chama sio mchezaji wa kawaida
Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi) JE NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.


"Soka ni Mchezo wa Wazi"
 
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"
Haruna Niyonzima?
Hiki ni kichekesho. Siyo mbaya lakini huwez kamwe kumfananisha na CCC.
Angekua na viwango hivyo asingeachwa na SSC
 
Kwenu wadau wa Soka

Haruna Niyonzima na Clatous Chama Hawa ni Wachezaji ambao Wamejibebea Umaarufu Mkubwa kutokana na Uwezo wao wa Kucheza Soka la KIWANGO cha Juu katika Ligi Yetu ya Tanzania.

Viungo Hawa wamekuwa wakiwapa Matumaini Mashabiki wa Timu zao hasa wanapoanza katika kikosi na kufanya Mambo makubwa ndani ya Uwanja na kupelekea Timu pinzani kuonekana Kama wanaonewa na Kunyanyaswa na Wachezaji hao.

= Leo Tujue Kati ya Clatous Chota CHAMA (Mwamba wa Lusaka) na Haruna Hakizimana NIYONZIMA (Baba mzazi)

JE, NANI NI MCHEZAJI BORA ZAIDI.

"Soka ni Mchezo wa Wazi"

Wewe kama wewe unaonaje kwani kabla hujawapa watu kazi kwanza?
 
Chama ni habari nyingine...
Haruna tulimuona anajua kipindi Bongo bado pesa haijawekwa ya kutosha kwenye Soka, ko talents nyingi zinazoingia zilikuwa za kawaida....
Saiv Talents zipo kweli mzee, Haruna kwa chama bado Sana.....
Walivyocheza wote Simba tuliona.
Haruna labda umpambanishe na Bwalya napo bado ataburuzwa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom