Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,103
- 9,531
Chama ndiye mfungaji wa goli....Huyu alichangia sana kuwavusha kwenye moja ya hatua muhimu kwenye CAF CL
Na sio kufunga goli tu alicheza vizuri sana.
Hatudharau mchango wake kwenye kuanzisha move ya goli, ila chama ndiye alituvusha.
Chama ndiye alitupeleka makundi,
Kiufupi Niyo hana Alama aliyoiacha Simba, yeye kwa simba sawa na Rashid Juma tu.
Tulivyoenda mazembe away, Niyo ni kati ya waliocheza vibaya sana japo timu nzima ilicheza Ovyo.....
Alikuwa analazimisha kupiga vyenga vyake, matokeo yake alipokonywa hovyo tu.