kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,638
- 14,779
mkuu mbona unajibu kwa jazba?ebu relax kidogo ikiwezekana suuza nafsi na coca baridi apo grocery ya jirani...
huyo kiba na bella sauti zao zimewafikisha wapi?huyo unaesema hawafikii hao kwa sauti pia muangalie yupo wapi,licha ya kuwa na sauti mbaya?
kiba na bella wanaweza kuwa na sauti nzuri lakini diamond ana sauti tamu aise,acha kabisa!
Uko upande wa Diamond.