Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

mkuu mbona unajibu kwa jazba?ebu relax kidogo ikiwezekana suuza nafsi na coca baridi apo grocery ya jirani...
huyo kiba na bella sauti zao zimewafikisha wapi?huyo unaesema hawafikii hao kwa sauti pia muangalie yupo wapi,licha ya kuwa na sauti mbaya?
kiba na bella wanaweza kuwa na sauti nzuri lakini diamond ana sauti tamu aise,acha kabisa!

Uko upande wa Diamond.
 
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.

Hebu tuseme ukweli bila Chuki...

Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Kila mmoja amahaki ya kuongea ila asivunje sheria.Naisi huo ndio upeo wako wa kufikiri
 
Mkuu kuna uzi Diamond anataka kuwa waziri. umeuona?

Jamaa sijuwi anawapa nn watanzania wenzetu yaani imekuwa tooo much. Wanakoelekea wasema ni zaidi ya michael jackson.
Au sijuwi anawatuma yeye mwenyewe maana hadi inakera
 
Dimond na brown? really? Hata Dimond mwenyee akiskia atakataa kufananishwa na brown. Usilinganishe kitambi na mimba bhana, we baba ako ana kitambi unasema ana mimba!
 
unafananisha dar es salaam na new york au iphone na huawei.embu kuwa mdadisi bwana hau unapenda mada
 
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.

Hebu tuseme ukweli bila Chuki...

Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Mkuu kuna kengeza na chongo
Wewe upo wapi?
 
Shit izi
Ndiyo mkuu, huna habari kuwa wameshinda ubunge hawa?

kwa taarifa yako Jay ni mbunge wa mikumi na Mr. 2 ni wa Mbeya mjini.
Eminem yeye si atakuwa anategemea show tu? na recently hana hata kibao kinachovuma.
 
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.

Hebu tuseme ukweli bila Chuki...

Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Mkuu yani Chrisbrown umlinganishe na Diamond mkuu, tuweke mbali ushabiki Chris Brown ni multi-talented yani yule jamaa ni hatari sana kuanzia kucheza, vocal mpaka utunzi, na video zake nyingi uwa ana zi direct mwenyewe. Yule jamaa ni fundi bwana ni fundi haswa achilia mbali kwamba anaishi na kufanya kazi nchi kubwa ila ana kipaji matata sana.
 
Back
Top Bottom