Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
bila kumsahau komba na mzee wa kiraracha
kama kwa usingizi, ni stephen wasila
kama kwa usingizi, ni stephen wasila
Tundu Lissu, Zitto Kabwe, J Mnyika, H Mdee, Filikunjombe, Mbowe, Msigwa, NK
1.mbowe
2.zitto
3.mnyika
4.lisu
kwa usingizi ni wasira
matusi lusinde
uongo pinda
umbeya na misifa mama malecela
unoko makinda
USALITI ...SHIBUDA
is the part of motivation and performance apraisal for them and for the benefit of ths nation and the commin generations.yaani wabongo hovyo sana sometimes.....kwanini mnapenda vitakwimu ambavyo havitawasaidia????? ukishajua then iweje???
aiseeeeeeee kweri arifu????is the part of motivation and performance apraisal for them and for the benefit of ths nation and the commin generations.
Mohamed Dewji, kwa sasa, kabla ya hapo ni Rostam Aziz.
Mama Lwakatare ananikuna
1.mbowe
2.zitto
3.mnyika
4.lisu
kwa usingizi ni wasira
matusi lusinde
uongo pinda
umbeya na misifa mama malecela
unoko makinda
USALITI ...SHIBUDA
nimeipenda hii kazi kweli kweli.
Ukitoa Shibuda wabunge wote wa CDM ni moto mkali! Hawacheki na nyani shambani.
1.mbowe
2.zitto
3.mnyika
4.lisu
kwa usingizi ni wasira
matusi lusinde
uongo pinda
umbeya na misifa mama malecela
unoko makinda
USALITI ...SHIBUDA
nimeipenda hii kazi kweli kweli.