wabunge wote wa chadema
Shibuda,Mama Anna Makinda,Tyson (Wasira) list ni ndefu naomba msaada
Kwa upande wangu, ni Mbunge Wangu anayejitoa kwa Taifa hili ni KAMANDA LEMA,sisi bado tunamwita Mbunge
Wabunge wazuri wapo wengi sana hasa kwa kambi ya upinzani CDM wote ni wazuri wana fanya kazi kitimu.
1.freeman Mbowe 2.Tundu Lisu3.John Mnyika 4.Zito Kabwe 5.Halima Mdee 6.Vicent Nyerere 7.Mchungaji Msigwa na wengineo
kweli lema ni muhuni kwani anawavua magamba kwenda mbele pili alimwita pinda muongo hadi leo kimya tatu mgojeni dar mtasikia mziki wake!sasa wewe umeambiwa nani mbunge bora kuliko wote unamtaja muhuni,kibaka,jambazi lema alioa dada ako nn emb kua na akili ww taja mbunge co majina ya wahuni c bora ata useme wewe sasa.....
kama kwa usingizi, ni stephen wasila
John Shibuda.
Hakuna wote ni wanafkiWadau katika bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mbunge yupi unampa heshima ya kuwa mbunge bora kuliko wote? Vigezo ni uzalendo,kujiamini,kujitoa kwa ajili ya Taifa,msimamo kwa maslahi ya taifa,Jasiri,mbunifu katika kuwasaidia wananchi,ukaribu wake na wananchi,ushirikiano na viongozi wenzake,uwazi, uaminifu na umakakini.
Kwa Urozi na Ushirikina ni Maji Marefu (Steven Ngonyani )Shibuda,Mama Anna Makinda,Tyson (Wasira) list ni ndefu naomba msaada
umemsahauTundu Lisu
J.Mnyika
J. Makamba
>H Mwakyembe