Tanzania 4 Life
Member
- Apr 30, 2012
- 21
- 7
>January Yusuph Makamba
>Deo Filikunjombe
>Zitto Kabwe
>George Simbachawene
>Deo Filikunjombe
>Zitto Kabwe
>George Simbachawene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau katika bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mbunge yupi unampa heshima ya kuwa mbunge bora kuliko wote? Vigezo ni uzalendo,kujiamini,kujitoa kwa ajili ya Taifa,msimamo kwa maslahi ya taifa,Jasiri,mbunifu katika kuwasaidia wananchi,ukaribu wake na wananchi,ushirikiano na viongozi wenzake,uwazi, uaminifu na umakakini.
Mbunge bora kabisa kuliko wote kwa utendaji ni Bwana Lusinde mbunge wa Mtera.
.
"IT WAS GOD WHO CREATED MAN, MAN CREATED MONEY AND MONEY HAVE CREATED ALL KIND OF MADNESS".
mbowe natse,,, ....wabunge wooote wa chadema kasoro,,shibuda,,,,:spy:Tindu Lisu
Mnyika
Mdee
Sugu
Msigwa
na
Vikonjombe kwa CCM
Wadau katika bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mbunge yupi unampa heshima ya kuwa mbunge bora kuliko wote? Vigezo ni uzalendo,kujiamini,kujitoa kwa ajili ya Taifa,msimamo kwa maslahi ya taifa,Jasiri,mbunifu katika kuwasaidia wananchi,ukaribu wake na wananchi,ushirikiano na viongozi wenzake,uwazi, uaminifu na umakakini.
Augustine Lyatonga Mrema