Hujui hata CDF kanusurika? Kalagabaho!
Wewe ni mpumbavu! Mbona hujamuweka Diamond Platinumz kwenye hiyo list yako?Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1.Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2.Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3.mzalendo wa ukweli
4.mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
Thubutu tu Mkuu.Genta,huwa Nampa kila mtu heshima,hata wasiostahili Kama wewe. Usidhani Mimi siwezi kutukana. Matusi ninayo na Yana chumba chake kabisa yametulia. Ila kwa kuwa jukwaa hili ni la watu waliostaarabika(baadhi) inabidi nisiwakere.
Huwa nakucheki tuu unavowatukana watu humu kwa kujifanya wewe ni fyatu kuliko kila mtu humu.
I don't care.......I have nothing to lose.
Ni afadhali tusimamishe mti wa mpapai kuliko vijana design ya Mwingulu.Avunje baraza la mawaziri achague mawaziri vijana.
Kundi la damu lenye immunity dhidi ya magonjwa ya mfumo wa upumuaji!. Mungu Irehemu Tanzania.Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1.Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2.Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3.mzalendo wa ukweli
4.mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
Usimuonee,huu ni mfumo tu.Magufuli alimteua na kumuapisha Mwigulu wakati Dr Maige hata sanda hajavalishwa.Ukiitwa Mchawi utachukia? Yaani Msiba hata hauna Masaa Matatu tokea Watanzania tutangaziwe ( tutaarifiwe ) Liswahili Limoja linaacha Kusikitika na Kuomboleza Kwanza lenyewe linakimbilia Kuhoji nani atachukua nafasi yake. Shame on You..!!!
Makamba mwaondoe kabla sjamfuta haraka Sana anakibri Sana ondoa ondoaKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1.Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2.Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3.mzalendo wa ukweli
4.mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
Simbachawene/lukuvi ndo wanaoweza hii nna
I like that so powerfulSioni faida yoyote ya kuwa na waziri wa ulinzi, ikiwa hamna hata mmoja aliyewahi kuilinda nchi dhidi ya wahuni na vibaka wa CCM kama kina Sabaya, Bashite n.k
Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1.Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2.Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3.mzalendo wa ukweli
4.mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
January utopolo mlopokaji hovyoKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1.Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2.Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3.mzalendo wa ukweli
4.mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
Hapo kwa Kasheku naunga mkono, au kama VP wampe PolepoleApewe Livingstone Lusinde au Joseph Kasheku Msukuma.
Au Pembaatatokea unguja