Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,467
- 8,564
Mbona majina pendekezwa ni ya wapalestina, naona mama anataka kutusahau wayahudi
Kweli ukipewa cheo sio chako yaani hakuna cha arobaini ukifa mwingine anapiga kama sio kupigishwa jaramba kurithi nafasi yakoKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3. Mzalendo wa ukweli
4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
BladifakenGaidi
Hana sifa hizo labda aje kubeba hizo nafasi mbili za uDED zilizobakiNadhani umefika wasaa wa kumrudisha Balozi wa Tanzania Brazil kada mzoefu wa ccm Ndg Emmanuel Nchimbi aje aongoze wizara ya ulinzi. Ana experience ya kutosha, pili ni kada aliyepikwa vizuri akapikika. Na half way integrity anayo na anakubalika miongoni mwa CCm asili, makinikia na CCm kanda ya ziwa.
Subirini Mpendwa Wetu AZIKWE acheni ROHO MBAYA ni UCHURO HUO kwani kuna Haraka Gani Magufuli alikaa Miezi mingapi bila Kuteua Baraza la Mawaziri NINI KILITOKEA?Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3. Mzalendo wa ukweli
4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR
Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Majeshi walikuwa watu wa kanda. Mwendazake alikuwa muoga sana
Kweli Mwendazake alistahili kwenda mapema kwa maslahi mapana ya nchiWala si u kanda tu. Wote walikuwa wasukuma kwa mujibu wa utambulisho wao wenyewe.
Haiyumkiniki wakisokota u hiiiiii bagosha, kwenye vikao rasmi vya serikali vyenye kuhusisha wizara hii nyeti.
Alituchelewesha sana na wengi wanaendelea kufa leo kwa ugonjwa huu sababu ya porojo zake.Kweli Mwendazake alistahili kwenda mapema kwa maslahi mapana ya nchi
Huyo ana kinyongo asubiri kwanzaBashiru vipi!?
Ila na yeye alikufa ili kutuonesha mfano kuwa huu ugonjwa unaua. Tuchukue tahadhari sanaAlituchelewesha sana na wengi wanaendelea kufa leo kwa ugonjwa huu sababu ya porojo zake.
Ukisikia ulaku wa fisi ndio huo,kumla mwenzao kwao no kawaaida Sana.Yaani mtu hata hajapoa kwenye freeze mlishaanzisha habari za kurithishana duu !
Avunje baraza la mawaziri achague mawaziri vijana
Mama ashike hiyo nafasi yeye mwenyewe ataweza kumdhibiti Mbowe na chadema vizuri zaidi.Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.
Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.
1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.
2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais
3. Mzalendo wa ukweli
4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku
5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga
6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa
7. Asiyekuwa na matabaka
8. Asiyekuwa na kibri
9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga
10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.
Wanaotajwa kuziba nafasi hii
1 . Shamsi Vuai Nahodha
2. January Makamba
3. Seleman Jafo
Je, wewe unadhani wanafaa?
USSR