Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.

Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.

1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.

2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais

3. Mzalendo wa ukweli

4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku

5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga

6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa

7. Asiyekuwa na matabaka

8. Asiyekuwa na kibri

9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga

10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.

Wanaotajwa kuziba nafasi hii

1 . Shamsi Vuai Nahodha

2. January Makamba

3. Seleman Jafo

Je, wewe unadhani wanafaa?

USSR
Kweli ukipewa cheo sio chako yaani hakuna cha arobaini ukifa mwingine anapiga kama sio kupigishwa jaramba kurithi nafasi yako

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani umefika wasaa wa kumrudisha Balozi wa Tanzania Brazil kada mzoefu wa ccm Ndg Emmanuel Nchimbi aje aongoze wizara ya ulinzi. Ana experience ya kutosha, pili ni kada aliyepikwa vizuri akapikika. Na half way integrity anayo na anakubalika miongoni mwa CCm asili, makinikia na CCm kanda ya ziwa.
Hana sifa hizo labda aje kubeba hizo nafasi mbili za uDED zilizobaki
 
Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.

Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.

1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.

2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais

3. Mzalendo wa ukweli

4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku

5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga

6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa

7. Asiyekuwa na matabaka

8. Asiyekuwa na kibri

9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga

10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.

Wanaotajwa kuziba nafasi hii

1 . Shamsi Vuai Nahodha

2. January Makamba

3. Seleman Jafo

Je, wewe unadhani wanafaa?

USSR
Subirini Mpendwa Wetu AZIKWE acheni ROHO MBAYA ni UCHURO HUO kwani kuna Haraka Gani Magufuli alikaa Miezi mingapi bila Kuteua Baraza la Mawaziri NINI KILITOKEA?
 
Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Majeshi walikuwa watu wa kanda. Mwendazake alikuwa muoga sana

Wala si u kanda tu. Wote walikuwa wasukuma kwa mujibu wa utambulisho wao wenyewe.

Haiyumkiniki wakisokota u hiiiiii bagosha, kwenye vikao rasmi vya serikali vyenye kuhusisha wizara hii nyeti.
 
Wala si u kanda tu. Wote walikuwa wasukuma kwa mujibu wa utambulisho wao wenyewe.

Haiyumkiniki wakisokota u hiiiiii bagosha, kwenye vikao rasmi vya serikali vyenye kuhusisha wizara hii nyeti.
Kweli Mwendazake alistahili kwenda mapema kwa maslahi mapana ya nchi
 
Kwa mara ya kwanza Waziri wa Ulinzi atakua mwanamke kutokea Kanda pendwa
 
Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake.

Sifa za mtu kuteuliwa kushika nafasi ya Waziri wa Ulinzi na jeshi la Kujenga Taifa hupaswa kuwa zifuatazo.

1. Mtu mwenye hofu ya Mungu.

2. Mtu mwaminifu Sana kwa rais

3. Mzalendo wa ukweli

4. Mpore asiye na makeke na mdomo kasuku

5. Mwenye elimu isiyo ya kuungaunga

6. Anaeuona muungano kama Lulu ya kitaifa

7. Asiyekuwa na matabaka

8. Asiyekuwa na kibri

9. Anayejiamini kila anachofanya asiwe mwoga

10. Mwenye kuijua vema misingi ya amani ya taifa hili.

Wanaotajwa kuziba nafasi hii

1 . Shamsi Vuai Nahodha

2. January Makamba

3. Seleman Jafo

Je, wewe unadhani wanafaa?

USSR
Mama ashike hiyo nafasi yeye mwenyewe ataweza kumdhibiti Mbowe na chadema vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom