MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
naomba tujaribu kutabiri nani anaweza kuwa waziri mkuu mwakani katika serikali ijayo ya JMT.
inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine???
wapo pia waliotangaza nia ya kugombea ubunge kwenye majimbo kwa kudai wametumwa ili waupate uwaziri mkuu mwakani kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi na raisi kwa karibu mno....
je vipi kuhusu Spika a bunge?? Sita atarudi???
maoni haya yanaweza yakamsaidia JK na wahusika kuchagua mtu anaykubalika....
tuchangie....
inasemekana Mh.Pinda hakuwa chaguo la mzee la kwanza, Je kuna wengine???
wapo pia waliotangaza nia ya kugombea ubunge kwenye majimbo kwa kudai wametumwa ili waupate uwaziri mkuu mwakani kwa kuwa wamekuwa wakifanya kazi na raisi kwa karibu mno....
je vipi kuhusu Spika a bunge?? Sita atarudi???
maoni haya yanaweza yakamsaidia JK na wahusika kuchagua mtu anaykubalika....
tuchangie....