The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Well Pinda could be the ideal candidate anything can happen and may be Pinda could be weak in some areas as well
Magufuli mtendaji kweli,alimfunika JK ndo maana akatupwa kupambana na wakojani kwenye uvuvi!!
u no war i mean!!
hata akimnyima magufuli ....hawezi kumzuia kuwa rais 2015
SINA wasiwasi na utendaji kazi wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Benard Membe. Yeye ni miongoni mwa viongozi wachapa kazi hodari ambao taifa limepata kuwa nao.
Napenda kuamini pia kuwa Mheshimiwa Benard Membe ni miongoni mwa viongozi wetu wachache ambao utendaji kazi wao ulikwenda sambamba na kaulimbiu ya 2005-2010 'Ari mpya, Nguvu mpya na Kasi mpya'. Hii ni kaulimbiu ambayo iikuwa haizungumzwi sana kwa ari, kasi na nguvu kama ilivyokuwa ikisikika wakati utawala wa awamu ya nne ulioiasisi ulipoingia madarakani miaka mitano nyuma. Kwa nini? Kila mmoja wetu ana tafsiri yake
Anyway tuachane na hayo mimi nataka kujua Hii siri ya JK imevuja, ni kuwa BM amekuwa Waziri, source ni mbea wa ikulu
pinda ni kweli anafaa, tatizo kubwa yeye ni mtaalamu wa kujibu maswali bungeni, kuchair vikao, kuzima vuguvugu kitaalamu bila mtu kujua kama kuna suluhisho au hakuna, mfano richmond, leo hii nikikuuliza hata yale mambo serikali iliyoambiwa ishughulikie we unajua yamefikia wapi? Pia ni mwadilifu
inapokuja utendaje wa nje wa hayo niliyotaja hapo jamaa hayupo kabisa, mpole mno. Lowasa ni mfuatiliaji mzuri ila tatizo lake uadilifu.
Dr magufuli yeye yuko kote kote, uadilifu, kupangua hoja kwa mifano na live data, na pia ni mfuatiliaji wa mambo. Pia hana jazba ya kugombeza watu hadharani. Tukitaka tz isonge mbele kote kote, dr magufu ni mtu sahihi kwa sasa. Ila kama tunataka mtu wa kupangua hoja na kujibu maswali vizuri bungeni pinda ni mtu sahihi kwa sasa.
Ila ujue wananchi wanataka zaidi ya hapo, kuona miradi ya serikali ikikamilika kwa wakati na pia kua na value of maney. Magufuli alipokua ujenzi, ardi, uvuvi na mifugo, amefanya kazi zinazoonekana.
Hii kazi mpeni dr magufuli, ccm itarudi 2015 bila kuweka mabango kama mwaka huu. Ila wakimwachia huyu aliyetoka theni wajiandae kuongeza budget ya mabango ya kampeni mara 4 zaidi ifikapo 2015.
Dr magufuli sii mchezo, jamaa alikua anafuatilia barabara, ujenzi umefikia wapi, ameziweka kichwani, anatoa tathmini zitaisha lini, wakandarasi wazembe walipigwa chini, samaki alikua anadeal nao mpaka watu wakazika nyavu haramu wakaweka na misalaba ukidhani marehemu kumbe nyavu za kuvulia samaki. Alishawahi kukamata magari mengi ya serikali yanayofanya shuguli binafsi, anapangua hoja kwa hoja.
Pia jamaa kasomea sayansi, na unavyojua science haihitaji longolongo ni facts tu, kwenye science hamna uongo kabisa.
Mpeni dr magufuli muone, mawaziri, wakurugenzi, wakuu wa wilaya+mikoa wataacha kunukia perfume/marashi na watachapa kazi, then wananchi nao watachapa kazi
huyu jamaa dr magufu, ni mtaalamu sana, alipopewa wizara ya ardi, cha kwanza alichokifanya alienda darasani zaidi ya miezi 3 kusoma seria za ardi na mabaraza ja miji/vijiji. Alipoanza kazi ardi palianza kua pasafi, sasa sijui aligusa maslahi ya wakubwa akuchukua muda pale akapelekwa mifugo na uvuvi, nako huko akafanya mambo, meli ilikamatwa hana utani na haina maana zilikua haziibi samaki ili waliokuwepo walikua hawafuatilii
ila sisiemu tunawajua, watafanya kituko, tusubiri.
Hapo kati ya hayo majina mawili ukinipa niotoe uamuzi moja kwa moja nitakwambia ni Magufuli. Mimi ninashagazwa sana wanaomshabikia Tibaijuka. Je kuna political history yoyote inayomwonyesha mama huyu kuwa ni wa shoka kama wengine mnavyodiriki kumtukuza.
JK hata ukimpatia Obama kama PM wake hataweza kumsaidia. Kwa hiyo I really don't care nani atakuwa PM kwa sababu tuna miaka mingine 5 ya kupoteza bure!
Kwakuwa Chama cha chaka chua matokeo kilishaanzisha mpango wa kuwajali wakina mama, mpango wa kumpa u PM mama Tibaijuka kilikuwa sahihi.
Mama huyu ana uwezo mkubwa sana ila sijui kwa mafisadi kama angefanya kwa amani.
hata akimnyima magufuli ....hawezi kumzuia kuwa rais 2015
Sasa kama hawasalimiani wanafanyaje kazi, magufuli alikua napelekaje ripoti yake kwa jk au lowasa alipokua waziri mkuu
mzee gomezi
SINA wasiwasi na utendaji kazi wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mheshimiwa Benard Membe. Yeye ni miongoni mwa viongozi wachapa kazi hodari ambao taifa limepata kuwa nao.
Napenda kuamini pia kuwa Mheshimiwa Benard Membe ni miongoni mwa viongozi wetu wachache ambao utendaji kazi wao ulikwenda sambamba na kaulimbiu ya 2005-2010 'Ari mpya, Nguvu mpya na Kasi mpya'. Hii ni kaulimbiu ambayo iikuwa haizungumzwi sana kwa ari, kasi na nguvu kama ilivyokuwa ikisikika wakati utawala wa awamu ya nne ulioiasisi ulipoingia madarakani miaka mitano nyuma. Kwa nini? Kila mmoja wetu ana tafsiri yake
Anyway tuachane na hayo mimi nataka kujua Hii siri ya JK imevuja, ni kuwa BM amekuwa Waziri, source ni mbea wa ikulu