Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Okoa muda wako............Waziri Mkuu atakuwa yuleyule Pinda Mizengo Peter..............JK siyo mtu wa mageuzi.............
Wanaweza kufaa lakini si chini ya serikali ya jk,watakuwa spoiled very soon just like Pinda. Chini ya jk,MAFISADI wana nguvu bwana.Kama Tibaijuka watampa u-PM basi Magufuli wampe kwenye Madini.....!! Lakini wote hao ni watu wa kazi!
....na wizara ya mambo ya ndani atapewa Lyatonga Mrema (MB).
Habari kutoka Dodoma zinasema kuwa kati ya Tibaijuka na Magufuli mmojawapo atateuliwa kuwa Waziri Mkuu. Awali kulikuwa na candidates watatu mezani kwa Kikwete; akiwemo Mwandosya, ambaye sasa jina lake limeondolewa.
Akitambua bayana kuwa serikali yake haina haiba wala mvuto wa kutosha kuungwa mkono na wananchi, Kikwete amesema anataka waziri Mkuu "kukuru-kakara" atakayeweza kuburuza hybrid policy katika kilimo, viwanda (manufacturing) kwa ajili ya kuleta impact katika ajira. Huu ni mkakati wa ku-mobilize vijana amabo wanaonekana kuitupa mkono CCM, hasa kutokana na uzoefu wa CCm kutoungwa mkono na vijana wengi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010.
Nwasilisha. Tuendelee kutega masikio yetu.
hata akimnyima magufuli ....hawezi kumzuia kuwa rais 2015
Vuai kapewa uwaziri jana na Dr. Shein - jaribu tena jina lingine!