MP hakumkampenia JK, kwa hio hakuna cha kushangaza.
Who gives a rat?
Haiwezekani tena . Mkulima amechoka.
Ama kweli wewe hujui siasa zinavyokwenda, 6 ndo kushey, watu wanajipanga for 2015Duru ndo hizo sasa,tusubiri tu baada ya kukosa Uspika SS ndo anaenda kwenye UPM.