Nani kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri lijalo?

Wizara ya fedha ni ya muungano, hawawezi kuteua waziri na naibu wote toka upande mmoja.
Wizara ipi sio ya muungano? Sina utaalamu wa sheria na katiba, kuna sehemu yoyote inayosema Wizara fulani katika serikali ya JMT itahusika na Tanganyika tu? Kuna wizara yoyote ya SMZ inaripoti kwa raisi wa JMT?
 
She obtained her Bachelor of Commerce degree in Finance from the University of Dar es Salaam in 1991. She thereafter obtained a Master of Philosophy in Policy Management and Development Economics and a Doctor of Philosophy in International Development from the University of Tsukuba in Japan.
Nchi hii imeangushwa na haohao wanye CV kurasa 10.
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Wizara ipi sio ya muungano? Sina utaalamu wa sheria na katiba, kuna sehemu yoyote inayosema Wizara fulani katika serikali ya JMT itahusika na Tanganyika tu? Kuna wizara yoyote ya SMZ inaripoti kwa raisi wa JMT?
Waziri wa mambo ya ndani,,fedha,,ulinzi,,muungano na mazingira hawa wanapiga kotekote bara na visiwani. Ila waziri wa kilimo yeye anapiga huku bara tu hausiki na visiwani..hizo ni baadhi tu
 
Umenichekeshaaaaa halafu umenikumbusha mama yangu alinipigia simu kuniambia nasikia magufuli anaumwa sana nikamwambia mama achana na maneno ya mtaani magu mzima si unaona hata waziri mkuu kasema? Nilivyokua namwamini huyu kiumbe dah! Sijawahi kumuamini tena
Kuongea uwongo mtu aliye kwenye ofisi ya serikali ni majanga nchi nyingine mtu siku ya pili ana resign lakini kwetu uso mkavu utasema sio yeye aliyeongea sasa mtu kama huyu ndio PM ana uwezo gani leo wakukemea wengine kwa kusema uwongo wakati yeye alisema uwongo wazi kabisa. Ila kama hakukusudia alisema alichokuwa anakijuwa basi kapwaya inaonesha kiasi gani yuko out of coverage ni ku step down ila hatuna maadili katika maisha ya kawaida au public service.
 
Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija

Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.

Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.

Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Vipi mchungaji Gwajima, atatutoa? Apewe wizara gani huyo jamaa?
 
Waziri wa mambo ya ndani,,fedha,,ulinzi,,muungano na mazingira hawa wanapiga kotekote bara na visiwani. Ila waziri wa kilimo yeye anapiga huku bara tu hausiki na visiwani..hizo ni baadhi tu
Asante sana. Kwahiyo huu mkanganyiko ni wa kimakusudi kabisa, kuwa wizara nyingine za serikali ya JMT ni za Tanganyika? Ila zinaripoti kwa raisi wa JMT?

Sasa kwanini kusingekuwa na marufuku ya raisi kutoka Zanzibar? Maana ataongozaje wizara zisizo za muungano? Na kwasababu hiyo, next on line na wote wanaoweza kuwa kwenye kiti, iwe marufuku kuwa waZanzibar.
 
Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija

Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.

Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.

Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Kiukweli wa mwenyezi mungu mwngulu na chawene waondolewe kabisa.

Hawa watu kiuongozi bado. Wapo kibabe zaidi ya sheria. Watafutiwe ofisi yao pale lumumba.
 
Habari za ndani sana za uhakika ni kuwa January Makamba anarudishwa kwenye baraza la mawaziri sasa, huenda akawa ni waziri wa Afya. Dr. Tax anaingizwa baraza la mawaziri (lakini sio wizara ya Fedha!). Wizara ya Ulinzi anapewa Mnzanzibar. Na huenda Ummy Mwalimu akawa waziri wa fedha.

Hizo ni tetesi rasmi.
Hii tetesi mbovu kabisa. Ummy wizara ya fedha hapana kabisa. January Makamba na afya Noooooo
 
Kumtoa mwigulu wizara ya fedha ni kosa kubwa sana mama atafanya.......angemwacha kwanza amalizane na hili la tozo. Hili wazo la tozo ni muhimu sana kwa nguvu ya serikali, for what a government without money?!!

Kumleta makamba barazani ni jambo jema sana na naomba litokee haswaa. Tukiongea ukweli, makamba yuko njema sana kichwani.
Mnamsifia sana makamba sijui kwa lipi hasa. Sijawai muona katika nyazfa zunazo mkutanisha na wananchi moja kwa moja. Sema wamweke tumpime mapema kama ana fit au la.
 
Back
Top Bottom