Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mwigulu Nchemba atazimudu siasa za wizara ya ulinzi kama tetesi zinavyosema au ndo atakwenda kupeleka siasa za wizara kwenye Jeshi? Kwangu mimi huyu si mtu sahihi kwa wizara ya ulinzi. Mzee Mkuchika anatajwa pia kwenda Ulinzi, yes will be chaguo sahihi lakini Bado tunaamini ana health strength yakuhudumu Kama Waziri? Kwangu mimi Mzee aachwe apumzike tusimchoshe. Anatajwa Simbachawene kwenda Ulinzi na Masauni kwenda Mambo ya Ndani. Masauni No, Simbachawene Yes. Kwa muktadha wa bla bla zinazoendelea naomba niseme mabadiliko yafutayo yanaweza kuleta tija
Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.
Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.
Bi. Stergomena Tax Waziri wa fedha, Charles Kimei Naibu Waziri wa fedha. Kwangu hii chemistry haina siasa nyingi na itajenga nidhamu ya kitaasisi ndani na nje endapo watapewa uhuru.
Simbachawene wizara ya Ulinzi, akisaidiwa na Masauni. Ndugulile Afya huku January Makamba akienda Mawasiliano.
Mwigulu Nchemba uwekezaji huku Kitila Mkumbo, DOROTH GWAJIMA wakisubiri bench kuona kama kidogo gurudumu litasogea.