mh kama kweli vileDr medard matogoro chananja kalemani, naibu waziri wa nishati na madini na mbunge wa Chato ndiye atakuwa.
Kweli kabisaProf Muhongo ni bonge la mchapakazi, ila ana GUNDU, kabla yake mgao wa umeme ulikuwa dondandugu
Hapa sasa unaanza kuleta uchochezi mapema. Yawezekana anafaa ila akiteuliwa utaleta mada ya ukabila.Dr medard matogoro chananja kalemani, naibu waziri wa nishati na madini na mbunge wa Chato ndiye atakuwa.
mzee hata awekwe nani kwa ccm usitegemee lolote la maana isipokuwa wizi tuKufuatia Rais Magufuli kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo aachie ngazi kutokana na sakata la 'mchanga wa bandarini'.
Tutoe mapendekezo yetu wakuu ni nani anayefaa kumrithi maana hii Wizara ina changamoto siyo kidogo!
Mbunge mmoja anapewa kazi nyengine, MAKONDA anateuliwa ubunge na kupewa WIZARA, Smple like ABCUkumbuke Waziri Lazima awe Mbunge.
Kufuatia Rais Magufuli kumtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo aachie ngazi kutokana na sakata la 'mchanga wa bandarini'.
Tutoe mapendekezo yetu wakuu ni nani anayefaa kumrithi maana hii Wizara ina changamoto siyo kidogo!