Hongera NabiiKutokana na utoroshwaji wa rasilimali zetu kama madini vilevile ukosefu wa nishati ya uhakika haswa umeme katika sehemu mbalimbali ya nchi, na kwa kuwa Mh Waziri Angellah Jasmin Kairuki yupo makini katika kuhakiki basi ni vyema ikikupendeza umteue Waziri Kairuki katika Wizara hiyo inayohitaji uhakiki endelevu wa rasilimali za Taifa
SafiiiDr. Kalemani (PhD) - "Poti"
InshallahDr medard matogoro chananja kalemani, naibu waziri wa nishati na madini na mbunge wa Chato ndiye atakuwa.
Huyu sio nabiiHongera Nabii